Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Mh Paul Makonda aameipongeza Wilaya ya Temeke kwa kuwa mstari wa mbele katika kutekeleza miradi ya maendeleo.
Amezungumza hayo leo wakati akikagua miradi ya maendeleo wilayani humo ikiwemo mfereji wa maji katika shule ya Kibasila,hospitali zilizopo yombo vituka na buza pia madarasa katika shule ya Sekondari Mbagala.
Pia amempongeza mkuu wa Wilaya hiyo kwa ujenzi wa vyumba vya madarasa 124, madawati 7179 na matundu ya choo 124.
Vilevile amesema Wilaya ya Temeke inastahili kuwa shujaa na inastahili kupongezwa kwa kazi walioifanya.
Sanjari na hayo Rc Makonda amesema tareha 20 mwezi wa sita atapita kukabidhi miradi ya maendeleo kwa viongozi wa Chama akiambatana na kamati ya Siasa mkoa.
Hata hivyo Rc Makonda amemalizia kwa kuwataka wananchi wamruhusu Mh Rais Dk John Magufuli afanye kampeni kiwilaya ili apate muda wa kupumzika na amewataka wazazi kuwachunga watotowao ambao wanatabia ya udokozi.
-
Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga Daktari Daniel Henry Na Isaac Masengwa ******************* Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga...
-
Rais Uhuru Kenyatta na viongozi wengine nchini Kenya wametuma salamu zao za rambi rambi kwa familia ya marehemu Yusuf Haji. Rais Uhuru Kenya...
-
WATU saba wamefariki dunia baada ya bajaji waliyokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso na lori eneo la Mpemba, Tunduma wilayani Momba, mk...
-
Kulia ni Mkurugenzi wa Stedom House of Beauty Bi. Stella Mhondo akigonga Cheers na wadau wa masuala ya Urembo na Vipodozi waliohudhuria uzin...
-
MWANA-mfalme wa Uingereza,. Prince Charles, ambaye ni mtoto wa kwanza wa Malkia Elizabeth wa Pili wa Uingereza, na mrithi wa kwanza katika ...
-
Mfanyabiashara raia wa Kenya, Raphael Ongangi anayedaiwa kutekwa na watu wasiojulikana maeneo ya Oysterbay, Dar es Salaam nchini Tanzania am...
-
Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Jasinta Mboneko amefunga rasmi mafunzo ya sheria za usalama barabarani kwa maaskofu na wachungaji wa makanisa ya...
-
Vijana wametakiwa kuwa wazalendo katika nchi yao kwa kukemea vitendo viovu katika jamii na kutoa taarifa za uhalifu na wahalifu. Aidha Sil...
-
Zikiwa zimesalia siku chache tu Hoteli Mpya ya Kisasa yenye Ubora wa hali ya juu 'SHY PARK HOTEL' ifunguliwe Rasmi mwezi Agosti 202...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na...

