Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Mh Paul Makonda aameipongeza Wilaya ya Temeke kwa kuwa mstari wa mbele katika kutekeleza miradi ya maendeleo.
Amezungumza hayo leo wakati akikagua miradi ya maendeleo wilayani humo ikiwemo mfereji wa maji katika shule ya Kibasila,hospitali zilizopo yombo vituka na buza pia madarasa katika shule ya Sekondari Mbagala.
Pia amempongeza mkuu wa Wilaya hiyo kwa ujenzi wa vyumba vya madarasa 124, madawati 7179 na matundu ya choo 124.
Vilevile amesema Wilaya ya Temeke inastahili kuwa shujaa na inastahili kupongezwa kwa kazi walioifanya.
Sanjari na hayo Rc Makonda amesema tareha 20 mwezi wa sita atapita kukabidhi miradi ya maendeleo kwa viongozi wa Chama akiambatana na kamati ya Siasa mkoa.
Hata hivyo Rc Makonda amemalizia kwa kuwataka wananchi wamruhusu Mh Rais Dk John Magufuli afanye kampeni kiwilaya ili apate muda wa kupumzika na amewataka wazazi kuwachunga watotowao ambao wanatabia ya udokozi.
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Tanzania November 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za ny...
-
Mhamasishaji maarufu wa mitandaoni, Mwijaku, ameandika ujumbe unaotoa ushauri kwa Rais wa klabu ya Yanga, Injinia Said Hersi, kupitia ukuras...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 9, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na ...
-
Zaidi ya ghorofa 100 jijini Dar es Salaam zilibainika kujengwa kinyume cha taratibu za ujenzi, Bunge lilielezwa. Kwa mujibu wa ripoti iliy...
-
Msimamo Ligi Kuu Bara 2024/2025 Msimamo Ligi Kuu Bara 2024/2025, NBC Premier League Tanzania Msimamo Ligi Kuu NBC 2024/2025 Tanzania Premier...
-
Msanii maarufu Ntemi O Mabala ' Ng'wana Kang'wa kutoka Kahama Mkoani Shinyanga anakualika kusikiliza wimbo wake mpya unaitwa M...
-
Hii hapa ngoma mpya ya Msanii wa Nyimbo za asili Mama Ushauri ameshirikiana na Ng'wana Ng'washi inaitwa Merimela ,imetengenezwa Lw...
-
Na Mbuke Shilagi Kagera. Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dkt. Doto Biteko amesema kuwa mradi wa umeme wa maji ya maporomoko wa Rusumo...
-
Msanii wa nyimbo za asili Nyanda Madirisha Obhado 'Maliganya' maarufu Shikomba Bhulolo anakualika kusikiliza wimbo wake mpya 2021 un...