Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Mh Paul Makonda aameipongeza Wilaya ya Temeke kwa kuwa mstari wa mbele katika kutekeleza miradi ya maendeleo.
Amezungumza hayo leo wakati akikagua miradi ya maendeleo wilayani humo ikiwemo mfereji wa maji katika shule ya Kibasila,hospitali zilizopo yombo vituka na buza pia madarasa katika shule ya Sekondari Mbagala.
Pia amempongeza mkuu wa Wilaya hiyo kwa ujenzi wa vyumba vya madarasa 124, madawati 7179 na matundu ya choo 124.
Vilevile amesema Wilaya ya Temeke inastahili kuwa shujaa na inastahili kupongezwa kwa kazi walioifanya.
Sanjari na hayo Rc Makonda amesema tareha 20 mwezi wa sita atapita kukabidhi miradi ya maendeleo kwa viongozi wa Chama akiambatana na kamati ya Siasa mkoa.
Hata hivyo Rc Makonda amemalizia kwa kuwataka wananchi wamruhusu Mh Rais Dk John Magufuli afanye kampeni kiwilaya ili apate muda wa kupumzika na amewataka wazazi kuwachunga watotowao ambao wanatabia ya udokozi.
-
Baadhi ya raia walioyatoroka makaazi yao baada ya mlipuko wa volkano uliotokea usiku wa kuamkia huko mjini Goma mashariki mwa Jamhuri ya Kid...
-
Bongo Deco wauzai wa vifaa mbalimbali vya umeme kama TV, Subwoofer, Hometheator, Majiko madogo na makubwa ya Gesi, Friji, Generator nk leo w...
-
Balozi mpya wa Kenya nchini Tanzania, Dan Kazungu akitoa hotuba yake kwa wageni mbalimbali waliohudhulia dhifa iliyoandaliwa maalum kwa kumk...
-
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (kulia)akimsikiliza Waziri wa Maliasili na Utalii wa Jamhuri ya ...
-
Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) imesema kuanzia kesho Jumatano Juni 23, 2021 itakuwa ni marufuku kwa mtu yeyote kuingia eneo la hospita...
-
Kupitia ukurasa wake wa Instagram mjasiriamali Faiza Ally ameweka wazi hisia zake na kusema kuwa anatamani sana kuona msanii wa Bongo Flev...
-
UNAPOTAJA jina la mwanamuziki mkubwa barani Afrika, Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz' kutoka Tanzania, akili za wengi zinakimbilia kwe...
-
Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa tahadhari ya siku tano ya kunyesha mvua kubwa inayoweza kusababisha athari ikiwemo mafuriko. ...
-
Msanii maarufu Ntemi O Mabala ' Ng'wana Kang'wa kutoka Kahama Mkoani Shinyanga anakualika kusikiliza wimbo wake mpya unaitwa M...
-
Geneva, Switzerland /AFP /.More than 100 groups urged the International Labour Organization to stop taking money from tobacco companies as t...