Mtumishi wa Mungu Muna Love, amesema maana ya sebene la Yesu ni ujumbe wa Mungu ambao anautumia kwa njia ya kucheza nyimbo za masebene na disko, yanayoambatana na maneno ya kumsifu na kumtukuza.
Muna Love amesema atatumia kila njia ili kumtangaza Yesu kwa sababu, hata huko kuna madisko na masebene pia yupo kwa ajili ya kufikisha ujumbe kwa sababu Mungu amemtendea vitu vingi.
"Maana ya sebene la Yesu ni ujumbe wa Yesu unaoambatana na maandiko ya Mungu, nina mapatano yangu na Mungu kwamba nitamtangaza kwa kila njia ili mradi hata asiyesoma atakusikia, kwa Mungu kuna kila kitu kuna vibe, disko, masebene, kuabudu na kusifu mimi nipo kwa ajili ya kufikisha ujumbe kwa sababu amenitendea vitu vingi na hapo bado sijacheza sebene maana nitacheza sana" amesema Muna Love.
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na...
-
Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga Daktari Daniel Henry Na Isaac Masengwa ******************* Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga...
-
WATU saba wamefariki dunia baada ya bajaji waliyokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso na lori eneo la Mpemba, Tunduma wilayani Momba, mk...
-
Ninakualika kutazama Video Mpya kabisa mwaka 2021 kutoka kwa Msanii Yobat amemshirikisha Bhudagala Ng'wana Malonja na Shija Kadoke wim...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Tanzania November 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za ny...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 9, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na ...
-
Na Mbuke Shilagi Kagera. Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dkt. Doto Biteko amesema kuwa mradi wa umeme wa maji ya maporomoko wa Rusumo...
-
Msanii wa nyimbo za asili Nyanda Madirisha Obhado 'Maliganya' maarufu Shikomba Bhulolo anakualika kusikiliza wimbo wake mpya 2021 un...
-
Rais Uhuru Kenyatta na viongozi wengine nchini Kenya wametuma salamu zao za rambi rambi kwa familia ya marehemu Yusuf Haji. Rais Uhuru Kenya...
-
Kulia ni Mkurugenzi wa Stedom House of Beauty Bi. Stella Mhondo akigonga Cheers na wadau wa masuala ya Urembo na Vipodozi waliohudhuria uzin...