Friday, May 8, 2020
Malkia Elizabeth kuongoza kumbukumbu za miaka 75 ya kumalizika vita vya pili vya dunia
Malkia Elizabeth wa II leo atatoa hotuba kwa njia ya televisheni kuadhimisha miaka 75 tangu kumalizika kwa vita kuu ya pili ya dunia huku sherehe za mwaka huku zikiandamwa na kiwingu cha janga la virusi vya corona.
Hotuba ya Malkia Elizabeth itakuwa ishara muhimu inayotolewa miaka 75 tangu baba yake Mfalme George wa VI alipolihutubia taifa kwa njia ya redio na kutangaza ushindi katika vita kuu vya pili vya dunia.
Matukio kadhaa yaliyopangwa kusherehea siku ya ushindi wa majeshi ya nchi washirika dhidi ya manazi wa Ujerumani yamefutwa baada ya serikali kupiga marufuku ya mikusanyiko kuzuia kusambaa kwa virusi vya corona.
Hata hivyo tukio la kurushwa kwa ndege za kivita litafanyika kama kawaida na waziri mkuu Boris Johnson atazungumza na maveterani kwa njia ya video pamoja na kutoa ujumbe wa kuadhimisha siku hiyo ya kitaifa
-
WATU saba wamefariki dunia baada ya bajaji waliyokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso na lori eneo la Mpemba, Tunduma wilayani Momba, mk...
-
Rais Uhuru Kenyatta na viongozi wengine nchini Kenya wametuma salamu zao za rambi rambi kwa familia ya marehemu Yusuf Haji. Rais Uhuru Kenya...
-
MWANA-mfalme wa Uingereza,. Prince Charles, ambaye ni mtoto wa kwanza wa Malkia Elizabeth wa Pili wa Uingereza, na mrithi wa kwanza katika ...
-
Mbunge wa Kigoma Mjini na Kiongozi Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe asomewa mashtaka matatu ya uchochezi, yenye nia ya kuleta ch...
-
Mfanyabiashara raia wa Kenya, Raphael Ongangi anayedaiwa kutekwa na watu wasiojulikana maeneo ya Oysterbay, Dar es Salaam nchini Tanzania am...
-
Vijana wametakiwa kuwa wazalendo katika nchi yao kwa kukemea vitendo viovu katika jamii na kutoa taarifa za uhalifu na wahalifu. Aidha Sil...
-
Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Jasinta Mboneko amefunga rasmi mafunzo ya sheria za usalama barabarani kwa maaskofu na wachungaji wa makanisa ya...
-
Zikiwa zimesalia siku chache tu Hoteli Mpya ya Kisasa yenye Ubora wa hali ya juu 'SHY PARK HOTEL' ifunguliwe Rasmi mwezi Agosti 202...
-
Mara nyingi wanawake wamekuwa watu wa kukaa kimya bila kusema wanataka nini ili kuridhishwa katika mapenzi na mbaya zaidi katika swala zima ...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na...
