Friday, May 15, 2020

Kampuni ya MO Dewji kufutiwa leseni, sakata la sukari



Kampuni ya MO Dewji kufutiwa leseni, sakata la sukari
Serikali imetishia kuzinyang'anya leseni ya Biashara baadhi ya Kampuni ambazo ni Mawakala wa Sukari ikiwemo ya Mohamed Enterprises Ltd kwa kukiuka agizo la katibu tawala wa mkoa Kilimanjaro Dkt Khatibu Kazungu alilotoa hivi karibuni akiwataka kuagiza sukari na kisha kuziuza kwa wafanyabiashara katika mkoa huo. 


OPEN IN BROWSER
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...