Friday, May 8, 2020
China yakaribisha kujiunga na ubunifu wa Shirika la Afya Duniani (WHO) katika kupambana na Corona
Serikali ya China imekaribisha kujiunga na ubunifu wa ushirikiano wa kimataifa wa Shirika la Afya Duniani (WHO) kwa ajili ya kukabiliana na virusi hatari vya Corona.
Hua Chunying, Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya China imesema kwamba serikali ya Beijing inakaribisha kujiunga na ubunifu wa ushirikiano wa kimataifa wa WHO kwa ajili ya kuharakishwa utafiri na uzalishaji wa vifaa vya afya vinavyohusiana na virusi vya corona
Chunying ameongeza kwamba serikali ya China inaunga mkono nafasi ya Shirika la Afya Duniani katika mapambano yake dhidi ya Corona na hivyo inakaribisha na kushiriki katika ubunifu na mapendekezo ya shirika hilo kwa lengo la kuharakisha shughuli za kufanyika utafiti, uzalishaji na kugawa chanjo na dawa za kukabili virusi vya Corona. Kabla ya hapo, Tedros Adhanom Katibu Mkuu wa Shirika la Afya Duniani alitangaza kuzinduliwa ubunifu wa ushirikiano wa kimataifa huku akionyesha matumaini kwamba China itajiunga na mpango huo.
-
Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga Daktari Daniel Henry Na Isaac Masengwa ******************* Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga...
-
WATU saba wamefariki dunia baada ya bajaji waliyokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso na lori eneo la Mpemba, Tunduma wilayani Momba, mk...
-
Rais Uhuru Kenyatta na viongozi wengine nchini Kenya wametuma salamu zao za rambi rambi kwa familia ya marehemu Yusuf Haji. Rais Uhuru Kenya...
-
MWANA-mfalme wa Uingereza,. Prince Charles, ambaye ni mtoto wa kwanza wa Malkia Elizabeth wa Pili wa Uingereza, na mrithi wa kwanza katika ...
-
Mfanyabiashara raia wa Kenya, Raphael Ongangi anayedaiwa kutekwa na watu wasiojulikana maeneo ya Oysterbay, Dar es Salaam nchini Tanzania am...
-
Zikiwa zimesalia siku chache tu Hoteli Mpya ya Kisasa yenye Ubora wa hali ya juu 'SHY PARK HOTEL' ifunguliwe Rasmi mwezi Agosti 202...
-
Vijana wametakiwa kuwa wazalendo katika nchi yao kwa kukemea vitendo viovu katika jamii na kutoa taarifa za uhalifu na wahalifu. Aidha Sil...
-
Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Jasinta Mboneko amefunga rasmi mafunzo ya sheria za usalama barabarani kwa maaskofu na wachungaji wa makanisa ya...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na...
-
Mbunge wa Kigoma Mjini na Kiongozi Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe asomewa mashtaka matatu ya uchochezi, yenye nia ya kuleta ch...

