Zaidi ya wafanyakazi milioni 3.8 walioondolewa kazini wameomba mafao ya kutokuwa na kazi wiki iliyopita wakati uchumi wa Marekani ukiporomoka zaidi katika mzozo ambao umekuwa wenye athari kubwa zaidi tangu miaka ya 1930.
Takriban watu milioni 30.3 wamejiandikisha kupata msaada wa kutokuwa na kazi katika wiki sita tangu kuzuka kwa virusi vya corona na kulazimisha mamilioni ya waajiri kufunga milango yao na kupunguza wafanyakazi.
Hawa ni watu wengi zaidi kuliko wanaoishi mjini New York na Chicago kwa jumla, na kwa kiwango kikubwa ni wimbi baya zaidi la watu kuachishwa kazi kuliko wakati mwingine.
Wakati waajiri wengi wanapunguza matumizi kwa kuwaachisha kazi wafanyakazi , wataalamu wa uchumi wanatabiri kwamba kiwango cha ukosefu wa ajira kwa Aprili kinaweza kwenda juu zaidi hadi asilimia 20.
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na...
-
Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga Daktari Daniel Henry Na Isaac Masengwa ******************* Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga...
-
WATU saba wamefariki dunia baada ya bajaji waliyokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso na lori eneo la Mpemba, Tunduma wilayani Momba, mk...
-
Ninakualika kutazama Video Mpya kabisa mwaka 2021 kutoka kwa Msanii Yobat amemshirikisha Bhudagala Ng'wana Malonja na Shija Kadoke wim...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Tanzania November 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za ny...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 9, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na ...
-
Na Mbuke Shilagi Kagera. Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dkt. Doto Biteko amesema kuwa mradi wa umeme wa maji ya maporomoko wa Rusumo...
-
Msanii wa nyimbo za asili Nyanda Madirisha Obhado 'Maliganya' maarufu Shikomba Bhulolo anakualika kusikiliza wimbo wake mpya 2021 un...
-
Rais Uhuru Kenyatta na viongozi wengine nchini Kenya wametuma salamu zao za rambi rambi kwa familia ya marehemu Yusuf Haji. Rais Uhuru Kenya...
-
Kulia ni Mkurugenzi wa Stedom House of Beauty Bi. Stella Mhondo akigonga Cheers na wadau wa masuala ya Urembo na Vipodozi waliohudhuria uzin...
