Zaidi ya wafanyakazi milioni 3.8 walioondolewa kazini wameomba mafao ya kutokuwa na kazi wiki iliyopita wakati uchumi wa Marekani ukiporomoka zaidi katika mzozo ambao umekuwa wenye athari kubwa zaidi tangu miaka ya 1930.
Takriban watu milioni 30.3 wamejiandikisha kupata msaada wa kutokuwa na kazi katika wiki sita tangu kuzuka kwa virusi vya corona na kulazimisha mamilioni ya waajiri kufunga milango yao na kupunguza wafanyakazi.
Hawa ni watu wengi zaidi kuliko wanaoishi mjini New York na Chicago kwa jumla, na kwa kiwango kikubwa ni wimbi baya zaidi la watu kuachishwa kazi kuliko wakati mwingine.
Wakati waajiri wengi wanapunguza matumizi kwa kuwaachisha kazi wafanyakazi , wataalamu wa uchumi wanatabiri kwamba kiwango cha ukosefu wa ajira kwa Aprili kinaweza kwenda juu zaidi hadi asilimia 20.
-
Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga Daktari Daniel Henry Na Isaac Masengwa ******************* Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga...
-
WATU saba wamefariki dunia baada ya bajaji waliyokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso na lori eneo la Mpemba, Tunduma wilayani Momba, mk...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na...
-
Rais Uhuru Kenyatta na viongozi wengine nchini Kenya wametuma salamu zao za rambi rambi kwa familia ya marehemu Yusuf Haji. Rais Uhuru Kenya...
-
Kulia ni Mkurugenzi wa Stedom House of Beauty Bi. Stella Mhondo akigonga Cheers na wadau wa masuala ya Urembo na Vipodozi waliohudhuria uzin...
-
NA REBECA DUWE TANGA Mkuu wa Mkoa wa Tanga Balozi Dkt Batlida Burian amewataka wananchi wenye migogoro mbalimbali ikiwemo ya ndoa na ardhi ...
-
MWANA-mfalme wa Uingereza,. Prince Charles, ambaye ni mtoto wa kwanza wa Malkia Elizabeth wa Pili wa Uingereza, na mrithi wa kwanza katika ...
-
Mfanyabiashara raia wa Kenya, Raphael Ongangi anayedaiwa kutekwa na watu wasiojulikana maeneo ya Oysterbay, Dar es Salaam nchini Tanzania am...
-
Vijana wametakiwa kuwa wazalendo katika nchi yao kwa kukemea vitendo viovu katika jamii na kutoa taarifa za uhalifu na wahalifu. Aidha Sil...
-
Ninakualika kutazama Video Mpya kabisa mwaka 2021 kutoka kwa Msanii Yobat amemshirikisha Bhudagala Ng'wana Malonja na Shija Kadoke wim...
