Zaidi ya wafanyakazi milioni 3.8 walioondolewa kazini wameomba mafao ya kutokuwa na kazi wiki iliyopita wakati uchumi wa Marekani ukiporomoka zaidi katika mzozo ambao umekuwa wenye athari kubwa zaidi tangu miaka ya 1930.
Takriban watu milioni 30.3 wamejiandikisha kupata msaada wa kutokuwa na kazi katika wiki sita tangu kuzuka kwa virusi vya corona na kulazimisha mamilioni ya waajiri kufunga milango yao na kupunguza wafanyakazi.
Hawa ni watu wengi zaidi kuliko wanaoishi mjini New York na Chicago kwa jumla, na kwa kiwango kikubwa ni wimbi baya zaidi la watu kuachishwa kazi kuliko wakati mwingine.
Wakati waajiri wengi wanapunguza matumizi kwa kuwaachisha kazi wafanyakazi , wataalamu wa uchumi wanatabiri kwamba kiwango cha ukosefu wa ajira kwa Aprili kinaweza kwenda juu zaidi hadi asilimia 20.
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na...
-
Mhamasishaji maarufu wa mitandaoni, Mwijaku, ameandika ujumbe unaotoa ushauri kwa Rais wa klabu ya Yanga, Injinia Said Hersi, kupitia ukuras...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Tanzania November 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za ny...
-
Zaidi ya ghorofa 100 jijini Dar es Salaam zilibainika kujengwa kinyume cha taratibu za ujenzi, Bunge lilielezwa. Kwa mujibu wa ripoti iliy...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 9, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na ...
-
Msimamo Ligi Kuu Bara 2024/2025 Msimamo Ligi Kuu Bara 2024/2025, NBC Premier League Tanzania Msimamo Ligi Kuu NBC 2024/2025 Tanzania Premier...
-
Na Mbuke Shilagi Kagera. Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dkt. Doto Biteko amesema kuwa mradi wa umeme wa maji ya maporomoko wa Rusumo...
-
Msanii maarufu Ntemi O Mabala ' Ng'wana Kang'wa kutoka Kahama Mkoani Shinyanga anakualika kusikiliza wimbo wake mpya unaitwa M...
-
Baadhi ya raia walioyatoroka makaazi yao baada ya mlipuko wa volkano uliotokea usiku wa kuamkia huko mjini Goma mashariki mwa Jamhuri ya Kid...
-
Hii hapa ngoma mpya ya Msanii wa Nyimbo za asili Mama Ushauri ameshirikiana na Ng'wana Ng'washi inaitwa Merimela ,imetengenezwa Lw...