Mawaziri wa Mambo ya nchi za kigeni wa Ujerumani, Ufaransa, Italia pamoja na Umoja wa Ulaya wametoa tamko la pamoja linaloelezea wasiwasi wao kuhusiana na ongezeko la mapigano nchini Libya.
Katika taarifa ya pamoja, wamezitaka pande hasimu nchini Libya kurejea kwenye meza ya mazungumzo na kutafuta makubaliano ya uhakika ya usitishaji mapigano.
Viongozi hao wametilia mkazo umuhimu wa kuwepo utulivu wa uhakika katika kipindi hiki cha mwezi mtukufu wa Ramadhan na wakati Libya inaendelea kukabiliana na mlipuko wa viruis vya corona.
Hivi karibuni mapigano yameongezeka kwenye mji mkuu wa Libya, Tripoli licha ya kutiwa saini mkataba wa kusitisha mapigano mnamo mwezi Januari.
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na...
-
Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga Daktari Daniel Henry Na Isaac Masengwa ******************* Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga...
-
WATU saba wamefariki dunia baada ya bajaji waliyokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso na lori eneo la Mpemba, Tunduma wilayani Momba, mk...
-
Ninakualika kutazama Video Mpya kabisa mwaka 2021 kutoka kwa Msanii Yobat amemshirikisha Bhudagala Ng'wana Malonja na Shija Kadoke wim...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Tanzania November 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za ny...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 9, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na ...
-
Na Mbuke Shilagi Kagera. Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dkt. Doto Biteko amesema kuwa mradi wa umeme wa maji ya maporomoko wa Rusumo...
-
Msanii wa nyimbo za asili Nyanda Madirisha Obhado 'Maliganya' maarufu Shikomba Bhulolo anakualika kusikiliza wimbo wake mpya 2021 un...
-
Rais Uhuru Kenyatta na viongozi wengine nchini Kenya wametuma salamu zao za rambi rambi kwa familia ya marehemu Yusuf Haji. Rais Uhuru Kenya...
-
Kulia ni Mkurugenzi wa Stedom House of Beauty Bi. Stella Mhondo akigonga Cheers na wadau wa masuala ya Urembo na Vipodozi waliohudhuria uzin...
