Iran imesema leo kuwa idadi ya matu waliopoteza maisha kwa ugonjwa wa virusi vya corona imeshuka kwa alama mbili kwa mara ya kwanza katika kipindi cha mwezi mmoja.
Msemaji wa wizara ya afya ya Iran Kianoush Jahanpour amesema vifo 98 vya ugonjwa wa covid-19 vimerikodiwa katika muda wa masaa 24, na kufikisha jumla ya watu waliofariki kuwa 4,683.
Jahanpour amesema watu wengine 1,574 wamegunduliwa kuambukizwa virusi hivyo, na kufanya jumla ya visa vya maambukizi nchini Iran kuwa 74,877.Ameongeza hata hivyo kwamba watu 48,129 waliokuwa wamelazwa hospitalini wamepona na kuruhusiwa.
Serikali ya rais Hassan Rouhani imepambana kudhibiti mripuko huo ulioanza karibu miezi miwili iliyopita.
Source
-
Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga Daktari Daniel Henry Na Isaac Masengwa ******************* Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga...
-
Rais Uhuru Kenyatta na viongozi wengine nchini Kenya wametuma salamu zao za rambi rambi kwa familia ya marehemu Yusuf Haji. Rais Uhuru Kenya...
-
WATU saba wamefariki dunia baada ya bajaji waliyokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso na lori eneo la Mpemba, Tunduma wilayani Momba, mk...
-
Kulia ni Mkurugenzi wa Stedom House of Beauty Bi. Stella Mhondo akigonga Cheers na wadau wa masuala ya Urembo na Vipodozi waliohudhuria uzin...
-
MWANA-mfalme wa Uingereza,. Prince Charles, ambaye ni mtoto wa kwanza wa Malkia Elizabeth wa Pili wa Uingereza, na mrithi wa kwanza katika ...
-
Mfanyabiashara raia wa Kenya, Raphael Ongangi anayedaiwa kutekwa na watu wasiojulikana maeneo ya Oysterbay, Dar es Salaam nchini Tanzania am...
-
Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Jasinta Mboneko amefunga rasmi mafunzo ya sheria za usalama barabarani kwa maaskofu na wachungaji wa makanisa ya...
-
Vijana wametakiwa kuwa wazalendo katika nchi yao kwa kukemea vitendo viovu katika jamii na kutoa taarifa za uhalifu na wahalifu. Aidha Sil...
-
Zikiwa zimesalia siku chache tu Hoteli Mpya ya Kisasa yenye Ubora wa hali ya juu 'SHY PARK HOTEL' ifunguliwe Rasmi mwezi Agosti 202...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na...
