Staa wa muziki nchini, Harmonize amefunguka na kusema yuko mbioni kuachia wimbo wa taarab na atamshirikisha Mzee Yusuph pindi atakaporudi mjini.
Hivi karibuni aliyekuwa Mwimbaji nguli wa muziki wa Taarab nchini, Mfalme Mzee Yusuph aliweka wazi anatarajia kurejea kwenye muziki ila watu wangoje ni kitu gani hasa atakuja kuimba.
Harmonize akiwa kwenye kipindi cha Uhondo, E FM Radio aliimba kionjo cha wimbo huo ambao kwa sasa anauandaa.
Itakumbukwa, Mzee Yusuph ana miaka takribani 6 tangu alipotangaza kuachana na muziki huo na kuanza kuimba Qaswida zenye maudhui ya dini ya kiislam. Je akirudi mjini atakuja na maadhi gani ya muziki? Mimi na wewe hatujui, tufanye kusubiri.
-
Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga Daktari Daniel Henry Na Isaac Masengwa ******************* Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga...
-
Rais Uhuru Kenyatta na viongozi wengine nchini Kenya wametuma salamu zao za rambi rambi kwa familia ya marehemu Yusuf Haji. Rais Uhuru Kenya...
-
WATU saba wamefariki dunia baada ya bajaji waliyokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso na lori eneo la Mpemba, Tunduma wilayani Momba, mk...
-
Kulia ni Mkurugenzi wa Stedom House of Beauty Bi. Stella Mhondo akigonga Cheers na wadau wa masuala ya Urembo na Vipodozi waliohudhuria uzin...
-
MWANA-mfalme wa Uingereza,. Prince Charles, ambaye ni mtoto wa kwanza wa Malkia Elizabeth wa Pili wa Uingereza, na mrithi wa kwanza katika ...
-
Mfanyabiashara raia wa Kenya, Raphael Ongangi anayedaiwa kutekwa na watu wasiojulikana maeneo ya Oysterbay, Dar es Salaam nchini Tanzania am...
-
Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Jasinta Mboneko amefunga rasmi mafunzo ya sheria za usalama barabarani kwa maaskofu na wachungaji wa makanisa ya...
-
Vijana wametakiwa kuwa wazalendo katika nchi yao kwa kukemea vitendo viovu katika jamii na kutoa taarifa za uhalifu na wahalifu. Aidha Sil...
-
Zikiwa zimesalia siku chache tu Hoteli Mpya ya Kisasa yenye Ubora wa hali ya juu 'SHY PARK HOTEL' ifunguliwe Rasmi mwezi Agosti 202...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na...