EXCLUSIVE: MESHAKI Mshindi wa BSS Afunguka Kila Kitu Kuhusu Kutolipwa Hela zake na Waandaaji
EXCLUSIVE: MESHAKI mshindi wa BSS afunguka kila kitu kuhusu kutolipwa hela zake na waandaaji hii ni baada ya Naibu Waziri Shoza Kuitisha Mkutano na Waandishi wa Habari na Kuelezea kilichotokea kuhusu kulipwa kwa Kijana Huyo