Mapenzi yananguvu kubwa hii imejionyesha kwa mrembo wa tasnia ya filamu na muziki Gigy Money baada ya kumbebesha virago Mpenzi wake Mnigeria ameeleza kwamba anatamani kufariki Dunia, kwa sababu anaona hawezi kula wala hawezi kulala.
Kupitia post aliyoweka katika mtandao wa kijamii wa Instagram Gigy Money amesema, hawezi kuamini kinachomtokea, anaona anajichukia mwenyewe na amekuwa dhaifu.
"Natamani kufariki bila sababu yoyote, siwezi kula wala siwezi kulala kwa kifupi siamini na hii imezidi, sasa najichukia mimi mwenyewe na nimekuwa dhaifu, yaani inauma ila inabidi uwe mkubwa kuelewa, sipo "interested" na mtu yeyote yule wote wamenishinda nimechoka" ameandika Gigy Money.
Aidha kwenye comments za post hiyo Gigy Money ameonesha kuyalalamikia mapenzi, hii imekuja baada ya kupita siku mbili tangu kugombana na mpenzi wake raia wa Nigeria Hunchy Huncho, ambaye alimfukuza nyumbani kwake.
-
Mhamasishaji maarufu wa mitandaoni, Mwijaku, ameandika ujumbe unaotoa ushauri kwa Rais wa klabu ya Yanga, Injinia Said Hersi, kupitia ukuras...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Tanzania November 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za ny...
-
Zaidi ya ghorofa 100 jijini Dar es Salaam zilibainika kujengwa kinyume cha taratibu za ujenzi, Bunge lilielezwa. Kwa mujibu wa ripoti iliy...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 9, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na ...
-
Msimamo Ligi Kuu Bara 2024/2025 Msimamo Ligi Kuu Bara 2024/2025, NBC Premier League Tanzania Msimamo Ligi Kuu NBC 2024/2025 Tanzania Premier...
-
Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala ndogo ya Dar es Salaam, imetupilia mbali shauri lililokuwa limefunguliwa na Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina...
-
Baadhi ya raia walioyatoroka makaazi yao baada ya mlipuko wa volkano uliotokea usiku wa kuamkia huko mjini Goma mashariki mwa Jamhuri ya Kid...
-
Hii hapa ngoma mpya ya Msanii wa Nyimbo za asili Mama Ushauri ameshirikiana na Ng'wana Ng'washi inaitwa Merimela ,imetengenezwa Lw...
-
Msanii maarufu Ntemi O Mabala ' Ng'wana Kang'wa kutoka Kahama Mkoani Shinyanga anakualika kusikiliza wimbo wake mpya unaitwa M...