Wednesday, March 25, 2020
Wanajeshi 92 Wauawa na BOKO Haram....
Rais wa Chad, Idriss Deby amesema Wanajeshi 92 wa nchi hiyo wameuawa katika shambulio lililofanywa na Boko Haram katika eneo la Boma na kudumu kwa takriban saa 7
Ametaja shambulio hilo kuwa baya zaidi kutokea nchini humo na kwamba hiyo ni mara ya kwanza kwa Chad kupoteza Wanajeshi wengi ndani ya siku moja
Imeelezwa kuwa vikosi vilivyotumwa kusaidia Jeshi navyo vilishambuliwa na Boko Haram, ambao walifanikiwa kuchukua silaha za Jeshi. Aidha, magari 24 ya kijeshi pia yameharibiwa vibaya katika shambulio hilo
Kwa mujibu wa Umoja wa Mataifa (UN), mashambulizi ambayo yamefanywa na Boko Haram kwa muda wa miaka 10 yamegharimu maisha ya watu 36,000 na kusababisha wengine Milioni mbili kukimbia makazi yao
-
Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga Daktari Daniel Henry Na Isaac Masengwa ******************* Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga...
-
WATU saba wamefariki dunia baada ya bajaji waliyokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso na lori eneo la Mpemba, Tunduma wilayani Momba, mk...
-
Rais Uhuru Kenyatta na viongozi wengine nchini Kenya wametuma salamu zao za rambi rambi kwa familia ya marehemu Yusuf Haji. Rais Uhuru Kenya...
-
MWANA-mfalme wa Uingereza,. Prince Charles, ambaye ni mtoto wa kwanza wa Malkia Elizabeth wa Pili wa Uingereza, na mrithi wa kwanza katika ...
-
Mfanyabiashara raia wa Kenya, Raphael Ongangi anayedaiwa kutekwa na watu wasiojulikana maeneo ya Oysterbay, Dar es Salaam nchini Tanzania am...
-
Mbunge wa Kigoma Mjini na Kiongozi Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe asomewa mashtaka matatu ya uchochezi, yenye nia ya kuleta ch...
-
Zikiwa zimesalia siku chache tu Hoteli Mpya ya Kisasa yenye Ubora wa hali ya juu 'SHY PARK HOTEL' ifunguliwe Rasmi mwezi Agosti 202...
-
Vijana wametakiwa kuwa wazalendo katika nchi yao kwa kukemea vitendo viovu katika jamii na kutoa taarifa za uhalifu na wahalifu. Aidha Sil...
-
Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Jasinta Mboneko amefunga rasmi mafunzo ya sheria za usalama barabarani kwa maaskofu na wachungaji wa makanisa ya...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na...
