Wednesday, March 25, 2020

Emmanuel Adebayor awekwa karantini nchini Benin

Mshambuliaji wa Club Olimpia ya Paraguay Emmanuel Adebayor ,36, raia wa Togo amekwama Benin katika mji wa Cotonou kwa siku 15 akiwa anarudi kwao Togo baada ya kuwekwa Karantini na abiria wengine 84.
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...