Mawaziri wa Umoja wa Ulaya wanasema umoja huo uko tayari kwa mazungumzo juu ya mahuasiano ya baadaye na Uingereza, ikiwa ni kuanzia biashara hadi usalama, lakini mchakato huo utakuwa mgumu sana na unaweza kushindwa iwapo Uingereza haitatatua mzozo kuhusu mpaka wa Ireland kama ilivyokubaliwa awali.
Uingereza ilijitoa kutoka Umoja wa Ulaya hapo Januari 31, baada ya zaidi ya miaka mitatu ya mazungumzo ya talaka, ambayo yaliingia katika utata kutokana na suala hilo nyeti la mpaka wa Ireland ambao una historia ya machafuko, mpaka pekee wa nchi kavu katika kundi hilo la mataifa na Uingereza kwa sasa.
Wakati pande zote zikitoa matamshi makali kabla ya majadiliano hayo ambayo yanatarajiwa kuanza wiki ijayo, Ireland imeonya kuwa hata makubaliano ya msingi ya biashara hayatawezekana ifikapo mwishoni mwa mwaka huu iwapo Uingereza haitakubaliana na majukumu ya mpaka kama ilivyokubaliwa katika makubaliano ya kujitoa.
Source
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Tanzania November 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za ny...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 9, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na ...
-
Zaidi ya ghorofa 100 jijini Dar es Salaam zilibainika kujengwa kinyume cha taratibu za ujenzi, Bunge lilielezwa. Kwa mujibu wa ripoti iliy...
-
Mhamasishaji maarufu wa mitandaoni, Mwijaku, ameandika ujumbe unaotoa ushauri kwa Rais wa klabu ya Yanga, Injinia Said Hersi, kupitia ukuras...
-
Msimamo Ligi Kuu Bara 2024/2025 Msimamo Ligi Kuu Bara 2024/2025, NBC Premier League Tanzania Msimamo Ligi Kuu NBC 2024/2025 Tanzania Premier...
-
Msanii maarufu Ntemi O Mabala ' Ng'wana Kang'wa kutoka Kahama Mkoani Shinyanga anakualika kusikiliza wimbo wake mpya unaitwa M...
-
Na Mbuke Shilagi Kagera. Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dkt. Doto Biteko amesema kuwa mradi wa umeme wa maji ya maporomoko wa Rusumo...
-
Msanii wa nyimbo za asili Nyanda Madirisha Obhado 'Maliganya' maarufu Shikomba Bhulolo anakualika kusikiliza wimbo wake mpya 2021 un...
-
Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala ndogo ya Dar es Salaam, imetupilia mbali shauri lililokuwa limefunguliwa na Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina...