Mawaziri wa Umoja wa Ulaya wanasema umoja huo uko tayari kwa mazungumzo juu ya mahuasiano ya baadaye na Uingereza, ikiwa ni kuanzia biashara hadi usalama, lakini mchakato huo utakuwa mgumu sana na unaweza kushindwa iwapo Uingereza haitatatua mzozo kuhusu mpaka wa Ireland kama ilivyokubaliwa awali.
Uingereza ilijitoa kutoka Umoja wa Ulaya hapo Januari 31, baada ya zaidi ya miaka mitatu ya mazungumzo ya talaka, ambayo yaliingia katika utata kutokana na suala hilo nyeti la mpaka wa Ireland ambao una historia ya machafuko, mpaka pekee wa nchi kavu katika kundi hilo la mataifa na Uingereza kwa sasa.
Wakati pande zote zikitoa matamshi makali kabla ya majadiliano hayo ambayo yanatarajiwa kuanza wiki ijayo, Ireland imeonya kuwa hata makubaliano ya msingi ya biashara hayatawezekana ifikapo mwishoni mwa mwaka huu iwapo Uingereza haitakubaliana na majukumu ya mpaka kama ilivyokubaliwa katika makubaliano ya kujitoa.
Source
-
Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga Daktari Daniel Henry Na Isaac Masengwa ******************* Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga...
-
WATU saba wamefariki dunia baada ya bajaji waliyokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso na lori eneo la Mpemba, Tunduma wilayani Momba, mk...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na...
-
Rais Uhuru Kenyatta na viongozi wengine nchini Kenya wametuma salamu zao za rambi rambi kwa familia ya marehemu Yusuf Haji. Rais Uhuru Kenya...
-
Kulia ni Mkurugenzi wa Stedom House of Beauty Bi. Stella Mhondo akigonga Cheers na wadau wa masuala ya Urembo na Vipodozi waliohudhuria uzin...
-
NA REBECA DUWE TANGA Mkuu wa Mkoa wa Tanga Balozi Dkt Batlida Burian amewataka wananchi wenye migogoro mbalimbali ikiwemo ya ndoa na ardhi ...
-
MWANA-mfalme wa Uingereza,. Prince Charles, ambaye ni mtoto wa kwanza wa Malkia Elizabeth wa Pili wa Uingereza, na mrithi wa kwanza katika ...
-
Mfanyabiashara raia wa Kenya, Raphael Ongangi anayedaiwa kutekwa na watu wasiojulikana maeneo ya Oysterbay, Dar es Salaam nchini Tanzania am...
-
Vijana wametakiwa kuwa wazalendo katika nchi yao kwa kukemea vitendo viovu katika jamii na kutoa taarifa za uhalifu na wahalifu. Aidha Sil...
-
Ninakualika kutazama Video Mpya kabisa mwaka 2021 kutoka kwa Msanii Yobat amemshirikisha Bhudagala Ng'wana Malonja na Shija Kadoke wim...
