Thursday, February 20, 2020
Msanii ROSA Ree Amkana Mwanamuziki TIMMY Dat Live...
Ukaribu wa Msanii Rosa Ree na Timmy Dat kutoka kenya unaonekana kupungua toka Video aliyoshirikishwa ya Vitamin U iwaletee Shida ya Rosa Ree Kufungiwa na Kulipa Faini ya Milioni mbili Basata
Ukaribu wao ulisababisha watu kufikiria kuwa wana mahusiano ya kimepenzi japo wenyewe wamekuwa wakikataa kuhusu hili, Baada ya ile Video Rosa Ree Alifuta picha zote za jamaa na kuacha kumpost kama tulivyozoea .
Sasa leo huko Instagram Rosa amepost picha yenye Caption 'Niulize Chochote Nitakujibu"
Katika Maswali aliyoulizwa Wengi wanauliza kama yupo kwenye uhusiano na Timmy Dat lakini Rosa Ree yote amejibu "NO" kuonesha kuwa ni hapana Hawana Mahusiano
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na...
-
Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga Daktari Daniel Henry Na Isaac Masengwa ******************* Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga...
-
WATU saba wamefariki dunia baada ya bajaji waliyokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso na lori eneo la Mpemba, Tunduma wilayani Momba, mk...
-
Ninakualika kutazama Video Mpya kabisa mwaka 2021 kutoka kwa Msanii Yobat amemshirikisha Bhudagala Ng'wana Malonja na Shija Kadoke wim...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Tanzania November 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za ny...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 9, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na ...
-
Na Mbuke Shilagi Kagera. Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dkt. Doto Biteko amesema kuwa mradi wa umeme wa maji ya maporomoko wa Rusumo...
-
Msanii wa nyimbo za asili Nyanda Madirisha Obhado 'Maliganya' maarufu Shikomba Bhulolo anakualika kusikiliza wimbo wake mpya 2021 un...
-
Rais Uhuru Kenyatta na viongozi wengine nchini Kenya wametuma salamu zao za rambi rambi kwa familia ya marehemu Yusuf Haji. Rais Uhuru Kenya...
-
Kulia ni Mkurugenzi wa Stedom House of Beauty Bi. Stella Mhondo akigonga Cheers na wadau wa masuala ya Urembo na Vipodozi waliohudhuria uzin...

