Thursday, February 20, 2020
Msanii ROSA Ree Amkana Mwanamuziki TIMMY Dat Live...
Ukaribu wa Msanii Rosa Ree na Timmy Dat kutoka kenya unaonekana kupungua toka Video aliyoshirikishwa ya Vitamin U iwaletee Shida ya Rosa Ree Kufungiwa na Kulipa Faini ya Milioni mbili Basata
Ukaribu wao ulisababisha watu kufikiria kuwa wana mahusiano ya kimepenzi japo wenyewe wamekuwa wakikataa kuhusu hili, Baada ya ile Video Rosa Ree Alifuta picha zote za jamaa na kuacha kumpost kama tulivyozoea .
Sasa leo huko Instagram Rosa amepost picha yenye Caption 'Niulize Chochote Nitakujibu"
Katika Maswali aliyoulizwa Wengi wanauliza kama yupo kwenye uhusiano na Timmy Dat lakini Rosa Ree yote amejibu "NO" kuonesha kuwa ni hapana Hawana Mahusiano
-
Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga Daktari Daniel Henry Na Isaac Masengwa ******************* Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga...
-
WATU saba wamefariki dunia baada ya bajaji waliyokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso na lori eneo la Mpemba, Tunduma wilayani Momba, mk...
-
Rais Uhuru Kenyatta na viongozi wengine nchini Kenya wametuma salamu zao za rambi rambi kwa familia ya marehemu Yusuf Haji. Rais Uhuru Kenya...
-
MWANA-mfalme wa Uingereza,. Prince Charles, ambaye ni mtoto wa kwanza wa Malkia Elizabeth wa Pili wa Uingereza, na mrithi wa kwanza katika ...
-
Mfanyabiashara raia wa Kenya, Raphael Ongangi anayedaiwa kutekwa na watu wasiojulikana maeneo ya Oysterbay, Dar es Salaam nchini Tanzania am...
-
Zikiwa zimesalia siku chache tu Hoteli Mpya ya Kisasa yenye Ubora wa hali ya juu 'SHY PARK HOTEL' ifunguliwe Rasmi mwezi Agosti 202...
-
Vijana wametakiwa kuwa wazalendo katika nchi yao kwa kukemea vitendo viovu katika jamii na kutoa taarifa za uhalifu na wahalifu. Aidha Sil...
-
Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Jasinta Mboneko amefunga rasmi mafunzo ya sheria za usalama barabarani kwa maaskofu na wachungaji wa makanisa ya...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na...
-
Mbunge wa Kigoma Mjini na Kiongozi Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe asomewa mashtaka matatu ya uchochezi, yenye nia ya kuleta ch...

