Thursday, February 20, 2020
Msanii ROSA Ree Amkana Mwanamuziki TIMMY Dat Live...
Ukaribu wa Msanii Rosa Ree na Timmy Dat kutoka kenya unaonekana kupungua toka Video aliyoshirikishwa ya Vitamin U iwaletee Shida ya Rosa Ree Kufungiwa na Kulipa Faini ya Milioni mbili Basata
Ukaribu wao ulisababisha watu kufikiria kuwa wana mahusiano ya kimepenzi japo wenyewe wamekuwa wakikataa kuhusu hili, Baada ya ile Video Rosa Ree Alifuta picha zote za jamaa na kuacha kumpost kama tulivyozoea .
Sasa leo huko Instagram Rosa amepost picha yenye Caption 'Niulize Chochote Nitakujibu"
Katika Maswali aliyoulizwa Wengi wanauliza kama yupo kwenye uhusiano na Timmy Dat lakini Rosa Ree yote amejibu "NO" kuonesha kuwa ni hapana Hawana Mahusiano
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Tanzania November 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za ny...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 9, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na ...
-
Zaidi ya ghorofa 100 jijini Dar es Salaam zilibainika kujengwa kinyume cha taratibu za ujenzi, Bunge lilielezwa. Kwa mujibu wa ripoti iliy...
-
Mhamasishaji maarufu wa mitandaoni, Mwijaku, ameandika ujumbe unaotoa ushauri kwa Rais wa klabu ya Yanga, Injinia Said Hersi, kupitia ukuras...
-
Msimamo Ligi Kuu Bara 2024/2025 Msimamo Ligi Kuu Bara 2024/2025, NBC Premier League Tanzania Msimamo Ligi Kuu NBC 2024/2025 Tanzania Premier...
-
Msanii maarufu Ntemi O Mabala ' Ng'wana Kang'wa kutoka Kahama Mkoani Shinyanga anakualika kusikiliza wimbo wake mpya unaitwa M...
-
Na Mbuke Shilagi Kagera. Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dkt. Doto Biteko amesema kuwa mradi wa umeme wa maji ya maporomoko wa Rusumo...
-
Msanii wa nyimbo za asili Nyanda Madirisha Obhado 'Maliganya' maarufu Shikomba Bhulolo anakualika kusikiliza wimbo wake mpya 2021 un...
-
Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala ndogo ya Dar es Salaam, imetupilia mbali shauri lililokuwa limefunguliwa na Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina...