Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron na Rais wa China Xi Jinping wametangaza leo kusaini mikataba mikuu ya kibiashara mjini Beijing ya kiasi cha thamani ya dola bilioni 15.
Mikataba iliyosainiwa ni ya sekta za usafiri wa angani, nishati na kilimo. Kampuni 20 za Ufaransa zilipewa idhini ya kuuza nyama ya kuku, ng'ombe na nguruwe nchini China.
Macron na Xi wametangaza mikataba hiyo katika kikao cha wanahabari kama sehemu ya ziara ya kiongozi huyo wa Ufaransa nchini China.
Habari hizo zimekuja wakati kukiwa na ongezeko la mivutano ya kiuchumi kati ya China na Marekani.
Xi amesema katika taarifa kuwa viongozi hao wawili wametuma ujumbe thabiti kwa ulimwengu kuhusu umuhimu wa kuhimiza ushirikiano wa kimataifa na biashara huru pamoja na kushirikiana katika kujenga demokrasia za wazi.
Aidha, Viongozi hao wawili walitoa taarifa ya pamoja wakielezea kuunga mkono Mkataba wa Paris kuhusu Mazingira uliotiwa saini 2015 wakiutaja kuwa usioweza kubatilishwa.
Marekani ilianza rasmi mchakato wa kujitoa rasmi wiki hii.
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na...
-
Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga Daktari Daniel Henry Na Isaac Masengwa ******************* Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga...
-
WATU saba wamefariki dunia baada ya bajaji waliyokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso na lori eneo la Mpemba, Tunduma wilayani Momba, mk...
-
Ninakualika kutazama Video Mpya kabisa mwaka 2021 kutoka kwa Msanii Yobat amemshirikisha Bhudagala Ng'wana Malonja na Shija Kadoke wim...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Tanzania November 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za ny...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 9, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na ...
-
Na Mbuke Shilagi Kagera. Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dkt. Doto Biteko amesema kuwa mradi wa umeme wa maji ya maporomoko wa Rusumo...
-
Msanii wa nyimbo za asili Nyanda Madirisha Obhado 'Maliganya' maarufu Shikomba Bhulolo anakualika kusikiliza wimbo wake mpya 2021 un...
-
Rais Uhuru Kenyatta na viongozi wengine nchini Kenya wametuma salamu zao za rambi rambi kwa familia ya marehemu Yusuf Haji. Rais Uhuru Kenya...
-
Kulia ni Mkurugenzi wa Stedom House of Beauty Bi. Stella Mhondo akigonga Cheers na wadau wa masuala ya Urembo na Vipodozi waliohudhuria uzin...
