Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron na Rais wa China Xi Jinping wametangaza leo kusaini mikataba mikuu ya kibiashara mjini Beijing ya kiasi cha thamani ya dola bilioni 15.
Mikataba iliyosainiwa ni ya sekta za usafiri wa angani, nishati na kilimo. Kampuni 20 za Ufaransa zilipewa idhini ya kuuza nyama ya kuku, ng'ombe na nguruwe nchini China.
Macron na Xi wametangaza mikataba hiyo katika kikao cha wanahabari kama sehemu ya ziara ya kiongozi huyo wa Ufaransa nchini China.
Habari hizo zimekuja wakati kukiwa na ongezeko la mivutano ya kiuchumi kati ya China na Marekani.
Xi amesema katika taarifa kuwa viongozi hao wawili wametuma ujumbe thabiti kwa ulimwengu kuhusu umuhimu wa kuhimiza ushirikiano wa kimataifa na biashara huru pamoja na kushirikiana katika kujenga demokrasia za wazi.
Aidha, Viongozi hao wawili walitoa taarifa ya pamoja wakielezea kuunga mkono Mkataba wa Paris kuhusu Mazingira uliotiwa saini 2015 wakiutaja kuwa usioweza kubatilishwa.
Marekani ilianza rasmi mchakato wa kujitoa rasmi wiki hii.
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Tanzania November 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za ny...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 9, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na ...
-
Zaidi ya ghorofa 100 jijini Dar es Salaam zilibainika kujengwa kinyume cha taratibu za ujenzi, Bunge lilielezwa. Kwa mujibu wa ripoti iliy...
-
Mhamasishaji maarufu wa mitandaoni, Mwijaku, ameandika ujumbe unaotoa ushauri kwa Rais wa klabu ya Yanga, Injinia Said Hersi, kupitia ukuras...
-
Msimamo Ligi Kuu Bara 2024/2025 Msimamo Ligi Kuu Bara 2024/2025, NBC Premier League Tanzania Msimamo Ligi Kuu NBC 2024/2025 Tanzania Premier...
-
Msanii maarufu Ntemi O Mabala ' Ng'wana Kang'wa kutoka Kahama Mkoani Shinyanga anakualika kusikiliza wimbo wake mpya unaitwa M...
-
Na Mbuke Shilagi Kagera. Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dkt. Doto Biteko amesema kuwa mradi wa umeme wa maji ya maporomoko wa Rusumo...
-
Msanii wa nyimbo za asili Nyanda Madirisha Obhado 'Maliganya' maarufu Shikomba Bhulolo anakualika kusikiliza wimbo wake mpya 2021 un...
-
Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala ndogo ya Dar es Salaam, imetupilia mbali shauri lililokuwa limefunguliwa na Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina...