Tuesday, October 22, 2019
Ogopa Sana Mida ya Saa TISA Usiku Mpaka Saa Kumi na Moja Alfajiri ni Hatari..Majini Wapo Kazini
Unambiwa kuanzia mida ya saa tisa usiku mpaka saa kumi na mbili alfajiri ,ni mida ya shetani,ghosts na wachawi ,na mambo mengi sana mabaya hutokea mida hiyo kama vifo ,pia ghosts ndomana kuanzia mida hiyo mbwa,paka,bundi na kuku ,huwa wana piga kelele sana kwasababu wana uwezo mkubwa wa kuona vitu visivyo onekana.
Unambiwa endapo kama sehemu unayo ishi(nyumbani kwako) ikifika usiku ,kuna kuwa na mazingira ya ajabu mfano
Baridi kali,upepo, harufu ambazo hazina chanzo,unasikia sauti zisizo elezeka,pia unaweza ukakuta mapazia yana pepea bila chanzo kama upepo
Jua basi kuna uwezekano mkubwa sana apo ni makazi ya ghosts/mizimu..au pia hiyo sehemu ulio jenga yalikuwa makaburi ya watu.
Pia unambiwa siku ambayo unajikuta unakuwa muoga sana haswa wakati wa usiku unapoenda kulala ,basi jua kwamba siku hiyo ni rahisi sana kutembelewa na ghosts/mizimu kwasababu unakuwa una wapa uhuru wakukutawala.
-
Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga Daktari Daniel Henry Na Isaac Masengwa ******************* Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga...
-
WATU saba wamefariki dunia baada ya bajaji waliyokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso na lori eneo la Mpemba, Tunduma wilayani Momba, mk...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na...
-
Rais Uhuru Kenyatta na viongozi wengine nchini Kenya wametuma salamu zao za rambi rambi kwa familia ya marehemu Yusuf Haji. Rais Uhuru Kenya...
-
Kulia ni Mkurugenzi wa Stedom House of Beauty Bi. Stella Mhondo akigonga Cheers na wadau wa masuala ya Urembo na Vipodozi waliohudhuria uzin...
-
NA REBECA DUWE TANGA Mkuu wa Mkoa wa Tanga Balozi Dkt Batlida Burian amewataka wananchi wenye migogoro mbalimbali ikiwemo ya ndoa na ardhi ...
-
MWANA-mfalme wa Uingereza,. Prince Charles, ambaye ni mtoto wa kwanza wa Malkia Elizabeth wa Pili wa Uingereza, na mrithi wa kwanza katika ...
-
Mfanyabiashara raia wa Kenya, Raphael Ongangi anayedaiwa kutekwa na watu wasiojulikana maeneo ya Oysterbay, Dar es Salaam nchini Tanzania am...
-
Vijana wametakiwa kuwa wazalendo katika nchi yao kwa kukemea vitendo viovu katika jamii na kutoa taarifa za uhalifu na wahalifu. Aidha Sil...
-
Ninakualika kutazama Video Mpya kabisa mwaka 2021 kutoka kwa Msanii Yobat amemshirikisha Bhudagala Ng'wana Malonja na Shija Kadoke wim...
