Misri imetoa agizo kwa umba la kupiga mnada Christies kusitisha uuzaji wa mchongo wa kichwa cha mfalme mdogo Tutankhamun wenye umri wa miaka 3,000. Wizara ya mambo ya nje Misri inatuhumu kwamba mchngo huo huenda uliibiwa katika miaka ya 1970 kutoka hekalu moja. Mchongo huo wa inchi 11 ulitarajiwa kupigwa mnada leo London na unatarajiwa kugharimu zaidi ya $ milioni 5.
Kwa mujibu wa BBC. Christies inasema Misri haijaelezea wasiwasi kuhusu kichwa hicho katika siku za nyuma licha ya mchongo huo 'kuonyeshwa wazi'.
Mchongo huo uliotengenezwa kwa jiwe gumu la madini ya quartz linatoka katika mkusanyiko binfasi wa sanaa ya jadi ambalo jumba hilo la mnada la Christie liliuza kwa pauni milioni 3 mnamo 2016.
Katika taarifa yake, Christies imesema: "Mchongo huo hauchunguzwi na haujawahi kuchunguzwa."
Imesema haiwezi kupiga mnada kitu ambacho kinagubikwa na malalamiko ya halali.
Christies pia imechapisha mpangilio wa wamiliki wa mchongo huo katika miaka 50 iliyopita.
-
Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga Daktari Daniel Henry Na Isaac Masengwa ******************* Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga...
-
WATU saba wamefariki dunia baada ya bajaji waliyokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso na lori eneo la Mpemba, Tunduma wilayani Momba, mk...
-
Rais Uhuru Kenyatta na viongozi wengine nchini Kenya wametuma salamu zao za rambi rambi kwa familia ya marehemu Yusuf Haji. Rais Uhuru Kenya...
-
Kulia ni Mkurugenzi wa Stedom House of Beauty Bi. Stella Mhondo akigonga Cheers na wadau wa masuala ya Urembo na Vipodozi waliohudhuria uzin...
-
MWANA-mfalme wa Uingereza,. Prince Charles, ambaye ni mtoto wa kwanza wa Malkia Elizabeth wa Pili wa Uingereza, na mrithi wa kwanza katika ...
-
Mfanyabiashara raia wa Kenya, Raphael Ongangi anayedaiwa kutekwa na watu wasiojulikana maeneo ya Oysterbay, Dar es Salaam nchini Tanzania am...
-
Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Jasinta Mboneko amefunga rasmi mafunzo ya sheria za usalama barabarani kwa maaskofu na wachungaji wa makanisa ya...
-
Vijana wametakiwa kuwa wazalendo katika nchi yao kwa kukemea vitendo viovu katika jamii na kutoa taarifa za uhalifu na wahalifu. Aidha Sil...
-
Zikiwa zimesalia siku chache tu Hoteli Mpya ya Kisasa yenye Ubora wa hali ya juu 'SHY PARK HOTEL' ifunguliwe Rasmi mwezi Agosti 202...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na...
