Mtandao wa US News umeripoti kuwa rapper T.I ni miongoni mwa watu walioteuliwa kwenye masuala ya kuisaidia jamii hasa kwenye masuala ya haki za wafungwa na magereza ya Atlanta nchini Marekani.
Inaelezwa kuwa mji huo umeteua jumla ya watu 25 ambapo inaripotiwa kuwa T.I amekuwa akijishughulisha na masuala ya kupigani haki za makosa ya jinai kwenye mji huo wa Atlanta huku jukumu kubwa la watu walioteuliwa ni kuzisaidia jela za mji huo ambazo uhifadhi watu wanaovunja sheria ndogo ndogo za kanuni za Atlanta.
Inatajwa kuwa kikao cha kwanza kwa ajili ya kushauriana vitu vya kufanya kitafanyika July 16,2019 na mapendekezo watakayokua nayo yatafikishwa kwa Meya wa mji huo Bi Keisha Lance ambapo yatapitiwa na kupitishwa.
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na...
-
Baadhi ya raia walioyatoroka makaazi yao baada ya mlipuko wa volkano uliotokea usiku wa kuamkia huko mjini Goma mashariki mwa Jamhuri ya Kid...
-
Mhamasishaji maarufu wa mitandaoni, Mwijaku, ameandika ujumbe unaotoa ushauri kwa Rais wa klabu ya Yanga, Injinia Said Hersi, kupitia ukuras...
-
Zaidi ya ghorofa 100 jijini Dar es Salaam zilibainika kujengwa kinyume cha taratibu za ujenzi, Bunge lilielezwa. Kwa mujibu wa ripoti iliy...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Tanzania November 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za ny...
-
Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala ndogo ya Dar es Salaam, imetupilia mbali shauri lililokuwa limefunguliwa na Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina...
-
Msanii maarufu Ntemi O Mabala ' Ng'wana Kang'wa kutoka Kahama Mkoani Shinyanga anakualika kusikiliza wimbo wake mpya unaitwa M...
-
Msimamo Ligi Kuu Bara 2024/2025 Msimamo Ligi Kuu Bara 2024/2025, NBC Premier League Tanzania Msimamo Ligi Kuu NBC 2024/2025 Tanzania Premier...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 9, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na ...
-
Hii hapa ngoma mpya ya Msanii wa Nyimbo za asili Mama Ushauri ameshirikiana na Ng'wana Ng'washi inaitwa Merimela ,imetengenezwa Lw...