Sunday, July 7, 2019
Mwanaume Ana Miaka 38 Ana Watoto 35
Mwanaume aitwaye Yuichi Ishii akiwa na miaka 38, ana watoto wengi kuliko mtu mwingine yeyote wa umri wake.
Lakini hutumia takribani saa nne kwa siku kukaa nao, mara kadhaa wiki moja, inategemea na mahitaji ya wateja wake.
Miaka kumi iliyopita, Ishii alianzisha kampuni aliyoiita Family Romance, Kampuni inayokodisha 'familia na marafiki'. Sasa kampuni ina waajiriwa 2,200 ambao hujifanya mababa na mama, binamu, wajomba, mabibi na babu na ndugu wengine bandia.
Umaarufu wa kampuni hiyo na uchangamfu wa mmiliki umekuwa ukikua tangu wakati ilipoanzishwa.
Leo hii Ishii ni "baba"wa watoto 35 na anaiambia BBC anachojisikia kuwa sehemu ya familia 25 tofauti, bila kuwa na mahusiano nao ya kweli.
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na...
-
Mhamasishaji maarufu wa mitandaoni, Mwijaku, ameandika ujumbe unaotoa ushauri kwa Rais wa klabu ya Yanga, Injinia Said Hersi, kupitia ukuras...
-
Baadhi ya raia walioyatoroka makaazi yao baada ya mlipuko wa volkano uliotokea usiku wa kuamkia huko mjini Goma mashariki mwa Jamhuri ya Kid...
-
Zaidi ya ghorofa 100 jijini Dar es Salaam zilibainika kujengwa kinyume cha taratibu za ujenzi, Bunge lilielezwa. Kwa mujibu wa ripoti iliy...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Tanzania November 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za ny...
-
Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala ndogo ya Dar es Salaam, imetupilia mbali shauri lililokuwa limefunguliwa na Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina...
-
Msanii maarufu Ntemi O Mabala ' Ng'wana Kang'wa kutoka Kahama Mkoani Shinyanga anakualika kusikiliza wimbo wake mpya unaitwa M...
-
Msimamo Ligi Kuu Bara 2024/2025 Msimamo Ligi Kuu Bara 2024/2025, NBC Premier League Tanzania Msimamo Ligi Kuu NBC 2024/2025 Tanzania Premier...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 9, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na ...
-
Hii hapa ngoma mpya ya Msanii wa Nyimbo za asili Mama Ushauri ameshirikiana na Ng'wana Ng'washi inaitwa Merimela ,imetengenezwa Lw...