Mbunge wa Viti Maalum anaewakilisha Vijana mkoani Dodoma, Mhe Mariam Ditopile ametekeleza ahadi yake ya kuchimba kisima kwa wananchi wa eneo la Mkoka Jimbo la Kongwa chenye uwezo wa kutoa Lita 25000 kwa saa.
Mhe Ditopile amekabidhi kisima hicho kwa wananchi wa Kongwa mbele ya Mbunge wa Jimbo hilo ambaye pia ni Spika wa Bunge, Mhe Job Ndugai.
"Niliahidi kuchimba kisima kwenu ndugu zangu wa Kongwa, sisi kama wasaidizi wa Rais Magufuli tunapaswa kuhakikisha tunamsaidia Rais wetu ambaye ameuletea Maendeleo Mkoa wetu wa Dodoma. Tunapaswa kumuunga mkono kwa vitendo katika kuwatumikia wananchi wanyonge ambao Rais wetu amekua akiwapigania kila siku," amesema Mhe Ditopile.
-
WATU saba wamefariki dunia baada ya bajaji waliyokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso na lori eneo la Mpemba, Tunduma wilayani Momba, mk...
-
Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga Daktari Daniel Henry Na Isaac Masengwa ******************* Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga...
-
Rais Uhuru Kenyatta na viongozi wengine nchini Kenya wametuma salamu zao za rambi rambi kwa familia ya marehemu Yusuf Haji. Rais Uhuru Kenya...
-
Mbunge wa Kigoma Mjini na Kiongozi Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe asomewa mashtaka matatu ya uchochezi, yenye nia ya kuleta ch...
-
Mfanyabiashara raia wa Kenya, Raphael Ongangi anayedaiwa kutekwa na watu wasiojulikana maeneo ya Oysterbay, Dar es Salaam nchini Tanzania am...
-
MWANA-mfalme wa Uingereza,. Prince Charles, ambaye ni mtoto wa kwanza wa Malkia Elizabeth wa Pili wa Uingereza, na mrithi wa kwanza katika ...
-
Vijana wametakiwa kuwa wazalendo katika nchi yao kwa kukemea vitendo viovu katika jamii na kutoa taarifa za uhalifu na wahalifu. Aidha Sil...
-
Zikiwa zimesalia siku chache tu Hoteli Mpya ya Kisasa yenye Ubora wa hali ya juu 'SHY PARK HOTEL' ifunguliwe Rasmi mwezi Agosti 202...
-
Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Jasinta Mboneko amefunga rasmi mafunzo ya sheria za usalama barabarani kwa maaskofu na wachungaji wa makanisa ya...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na...


