Benki kubwa ya Ujerumani Deutsche Bank inapanga kupunguza wafanyakazi karibu 18,000 kama sehemu ya mpango mkubwa wa marekebisho uliotangazwa na benki hiyo jana Jumapili.
Benki hiyo inataka kufikia mwaka 2022, kuwe na uwiano wa ajira za kudumu zipatazo 74,000 sawa na katika tawi lake la mjini Frankfurt ambapo hatua hiyo itakuwa ni sawa na kupunguza asilimia 20 ya wafanyakazi.
Mpango huo wa marekebisho makubwa ulitangazwa baada ya mkutano wa bodi ya usimamizi ya mjini Frankfurt unatarajiwa kuigharimu benki hiyo, Euro bilioni 7.4.
Deutsche bank inakabiliwa na mgogoro wa kifedha kupata faida wakati kutokana na masharti mapya ya usalama yaliyowekwa, pia inakabiliwa na mzigo mkubwa wa faini kutoka Marekani kutokana na mwenendo wake wakati wa mgogoro wa kifedha.
Mkurugenzi Mtendaji Mkuu wa Deutsche Bank alitangaza mpango huo wa marekebisho kwa mara ya kwanza mnamo mwezi Mei.
-
Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga Daktari Daniel Henry Na Isaac Masengwa ******************* Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga...
-
WATU saba wamefariki dunia baada ya bajaji waliyokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso na lori eneo la Mpemba, Tunduma wilayani Momba, mk...
-
Rais Uhuru Kenyatta na viongozi wengine nchini Kenya wametuma salamu zao za rambi rambi kwa familia ya marehemu Yusuf Haji. Rais Uhuru Kenya...
-
MWANA-mfalme wa Uingereza,. Prince Charles, ambaye ni mtoto wa kwanza wa Malkia Elizabeth wa Pili wa Uingereza, na mrithi wa kwanza katika ...
-
Mfanyabiashara raia wa Kenya, Raphael Ongangi anayedaiwa kutekwa na watu wasiojulikana maeneo ya Oysterbay, Dar es Salaam nchini Tanzania am...
-
Zikiwa zimesalia siku chache tu Hoteli Mpya ya Kisasa yenye Ubora wa hali ya juu 'SHY PARK HOTEL' ifunguliwe Rasmi mwezi Agosti 202...
-
Vijana wametakiwa kuwa wazalendo katika nchi yao kwa kukemea vitendo viovu katika jamii na kutoa taarifa za uhalifu na wahalifu. Aidha Sil...
-
Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Jasinta Mboneko amefunga rasmi mafunzo ya sheria za usalama barabarani kwa maaskofu na wachungaji wa makanisa ya...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na...
-
Mbunge wa Kigoma Mjini na Kiongozi Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe asomewa mashtaka matatu ya uchochezi, yenye nia ya kuleta ch...
