Baba wa watoto kumi huko nchini Nigeria, aitwae Malayu Ibrahim, ameunguzwa sehemu zake za siri na mke wake baada ya kumwambia anataka kuongeza mke wa pili.
Baba huyo alikimbizwa hospitali usiku wa jana Julai 12, 2019, baada ya kurudi nyumbani kwake na kumwagiwa maji ya moto na ameeleza kuwa,
"Nilirudi nyumbani na kumueleza mke wangu nataka kuongeza mke wa pili ambaye tutakuwa pamoja katika maombi na sala, baada ya kumueleza vile alionekana mwenye furaha na tuliishi kwa amani pamoja na sikuona mabadiliko yoyote kwake, lakini kuna siku nilirudi na nyama nyumbani, akaenda kuchemsha kisha alirudi na maji ya moto na kunimwagia sehemu zangu za siri kuanzia mapajani."
Pia Malayu Ibrahim akaongeza kwa kusema yeye kazi yake ni mwalimu wa shule ya msingi, yeye pamoja na mkewe wamebahatika kupata watoto kumi mpaka sasa.
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na...
-
Mhamasishaji maarufu wa mitandaoni, Mwijaku, ameandika ujumbe unaotoa ushauri kwa Rais wa klabu ya Yanga, Injinia Said Hersi, kupitia ukuras...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Tanzania November 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za ny...
-
Zaidi ya ghorofa 100 jijini Dar es Salaam zilibainika kujengwa kinyume cha taratibu za ujenzi, Bunge lilielezwa. Kwa mujibu wa ripoti iliy...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 9, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na ...
-
Msimamo Ligi Kuu Bara 2024/2025 Msimamo Ligi Kuu Bara 2024/2025, NBC Premier League Tanzania Msimamo Ligi Kuu NBC 2024/2025 Tanzania Premier...
-
Na Mbuke Shilagi Kagera. Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dkt. Doto Biteko amesema kuwa mradi wa umeme wa maji ya maporomoko wa Rusumo...
-
Msanii maarufu Ntemi O Mabala ' Ng'wana Kang'wa kutoka Kahama Mkoani Shinyanga anakualika kusikiliza wimbo wake mpya unaitwa M...
-
Baadhi ya raia walioyatoroka makaazi yao baada ya mlipuko wa volkano uliotokea usiku wa kuamkia huko mjini Goma mashariki mwa Jamhuri ya Kid...
-
Hii hapa ngoma mpya ya Msanii wa Nyimbo za asili Mama Ushauri ameshirikiana na Ng'wana Ng'washi inaitwa Merimela ,imetengenezwa Lw...