Kwa mujibu wa mtandao wa The Blast umeripoti kuwa rapper Ty Dolla $ign amefutiwa mashtaka yote ya dawa za kulevya aliyowahi kufunguliwa mwaka 2018, hii ni baada ya kukamilisha darasa lake la mafunzo na elimu juu ya dawa za kulevya kama alivyokubaliana na Mahakama.
Inaelezwa kuwa baada ya Ty kuingia kwenye sakata hilo mwezi September 2018 na kukamatwa kwa makosa hayo ilibidi aingie kwenye makubaliano na waendesha mashtaka na kupanga kuwa endapo atafata masharti ya kukamilisha darasa hilo basi hana budi ya kufutiwa mashtaka yake yaliyokuwa yakimkabili.
Ty Dolla $ign alikamatwa September 2018 akiwa na wenzake sita katika mtaa wa Martin Luther King Jr. Dr Atlanta Marekani na kuelezwa kuwa Polisi walisikia harufu ya Marijuana pamoja na Cocaine Latina gari alilokuwa akiendesha Ty na ndipo hapo alipofunguliwa mashtaka hayo.
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na...
-
Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga Daktari Daniel Henry Na Isaac Masengwa ******************* Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga...
-
WATU saba wamefariki dunia baada ya bajaji waliyokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso na lori eneo la Mpemba, Tunduma wilayani Momba, mk...
-
Ninakualika kutazama Video Mpya kabisa mwaka 2021 kutoka kwa Msanii Yobat amemshirikisha Bhudagala Ng'wana Malonja na Shija Kadoke wim...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Tanzania November 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za ny...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 9, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na ...
-
Na Mbuke Shilagi Kagera. Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dkt. Doto Biteko amesema kuwa mradi wa umeme wa maji ya maporomoko wa Rusumo...
-
Msanii wa nyimbo za asili Nyanda Madirisha Obhado 'Maliganya' maarufu Shikomba Bhulolo anakualika kusikiliza wimbo wake mpya 2021 un...
-
Rais Uhuru Kenyatta na viongozi wengine nchini Kenya wametuma salamu zao za rambi rambi kwa familia ya marehemu Yusuf Haji. Rais Uhuru Kenya...
-
Kulia ni Mkurugenzi wa Stedom House of Beauty Bi. Stella Mhondo akigonga Cheers na wadau wa masuala ya Urembo na Vipodozi waliohudhuria uzin...
