Kwa mujibu wa mtandao wa The Blast umeripoti kuwa rapper Ty Dolla $ign amefutiwa mashtaka yote ya dawa za kulevya aliyowahi kufunguliwa mwaka 2018, hii ni baada ya kukamilisha darasa lake la mafunzo na elimu juu ya dawa za kulevya kama alivyokubaliana na Mahakama.
Inaelezwa kuwa baada ya Ty kuingia kwenye sakata hilo mwezi September 2018 na kukamatwa kwa makosa hayo ilibidi aingie kwenye makubaliano na waendesha mashtaka na kupanga kuwa endapo atafata masharti ya kukamilisha darasa hilo basi hana budi ya kufutiwa mashtaka yake yaliyokuwa yakimkabili.
Ty Dolla $ign alikamatwa September 2018 akiwa na wenzake sita katika mtaa wa Martin Luther King Jr. Dr Atlanta Marekani na kuelezwa kuwa Polisi walisikia harufu ya Marijuana pamoja na Cocaine Latina gari alilokuwa akiendesha Ty na ndipo hapo alipofunguliwa mashtaka hayo.
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na...
-
Mhamasishaji maarufu wa mitandaoni, Mwijaku, ameandika ujumbe unaotoa ushauri kwa Rais wa klabu ya Yanga, Injinia Said Hersi, kupitia ukuras...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Tanzania November 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za ny...
-
Zaidi ya ghorofa 100 jijini Dar es Salaam zilibainika kujengwa kinyume cha taratibu za ujenzi, Bunge lilielezwa. Kwa mujibu wa ripoti iliy...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 9, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na ...
-
Msimamo Ligi Kuu Bara 2024/2025 Msimamo Ligi Kuu Bara 2024/2025, NBC Premier League Tanzania Msimamo Ligi Kuu NBC 2024/2025 Tanzania Premier...
-
Na Mbuke Shilagi Kagera. Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dkt. Doto Biteko amesema kuwa mradi wa umeme wa maji ya maporomoko wa Rusumo...
-
Msanii maarufu Ntemi O Mabala ' Ng'wana Kang'wa kutoka Kahama Mkoani Shinyanga anakualika kusikiliza wimbo wake mpya unaitwa M...
-
Baadhi ya raia walioyatoroka makaazi yao baada ya mlipuko wa volkano uliotokea usiku wa kuamkia huko mjini Goma mashariki mwa Jamhuri ya Kid...
-
Hii hapa ngoma mpya ya Msanii wa Nyimbo za asili Mama Ushauri ameshirikiana na Ng'wana Ng'washi inaitwa Merimela ,imetengenezwa Lw...