Leo ni siku ambayo mbivu na mbichi zitafahamika baada ya michezo ya marudio ya mchujo wa kupata timu mbili zitakazopanda Ligi Kuu Tanzania Bara (TPL) msimu ujao.
Timu za ligi kuu, Kagera Sugar na Mwadui FC zitatoa timu moja ambayo itayosalia katika ligi baada ya dakika 90, huku timu za daraja la kwanza, Pamba FC na Geita FC pia zikigombe nafasi moja.
Kagera Sugar leo itakuwa kibaruani kucheza mchezo wa pili dhidi ya Pamba katika uwanja wa Kaitaba mjini Bukoba, huku Mwadui FC ikimenyana na Geita FC uwanja wa Mwadui mjini Shinyanga.
Katika michezo ya awali, timu zote mbili zina kumbukumbu ya kutoka suluhu kwenye mechi zao, hivyo leo ni lazima washindi wawili wapatikane ili kutimiza idadi ya timu 20 zitakazocheza ligi kuu msimu ujao .
Kama Mwadui na Kagera zitapoteza mchezo wa leo basi itakuwa fursa kwa Pamba na Geita kupanda chati na kupata nafasi ya kushiriki ligi kuu.
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Tanzania November 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za ny...
-
Mhamasishaji maarufu wa mitandaoni, Mwijaku, ameandika ujumbe unaotoa ushauri kwa Rais wa klabu ya Yanga, Injinia Said Hersi, kupitia ukuras...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 9, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na ...
-
Zaidi ya ghorofa 100 jijini Dar es Salaam zilibainika kujengwa kinyume cha taratibu za ujenzi, Bunge lilielezwa. Kwa mujibu wa ripoti iliy...
-
Msimamo Ligi Kuu Bara 2024/2025 Msimamo Ligi Kuu Bara 2024/2025, NBC Premier League Tanzania Msimamo Ligi Kuu NBC 2024/2025 Tanzania Premier...
-
Msanii maarufu Ntemi O Mabala ' Ng'wana Kang'wa kutoka Kahama Mkoani Shinyanga anakualika kusikiliza wimbo wake mpya unaitwa M...
-
Hii hapa ngoma mpya ya Msanii wa Nyimbo za asili Mama Ushauri ameshirikiana na Ng'wana Ng'washi inaitwa Merimela ,imetengenezwa Lw...
-
Na Mbuke Shilagi Kagera. Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dkt. Doto Biteko amesema kuwa mradi wa umeme wa maji ya maporomoko wa Rusumo...
-
Msanii wa nyimbo za asili Nyanda Madirisha Obhado 'Maliganya' maarufu Shikomba Bhulolo anakualika kusikiliza wimbo wake mpya 2021 un...