Leo ni siku ambayo mbivu na mbichi zitafahamika baada ya michezo ya marudio ya mchujo wa kupata timu mbili zitakazopanda Ligi Kuu Tanzania Bara (TPL) msimu ujao.
Timu za ligi kuu, Kagera Sugar na Mwadui FC zitatoa timu moja ambayo itayosalia katika ligi baada ya dakika 90, huku timu za daraja la kwanza, Pamba FC na Geita FC pia zikigombe nafasi moja.
Kagera Sugar leo itakuwa kibaruani kucheza mchezo wa pili dhidi ya Pamba katika uwanja wa Kaitaba mjini Bukoba, huku Mwadui FC ikimenyana na Geita FC uwanja wa Mwadui mjini Shinyanga.
Katika michezo ya awali, timu zote mbili zina kumbukumbu ya kutoka suluhu kwenye mechi zao, hivyo leo ni lazima washindi wawili wapatikane ili kutimiza idadi ya timu 20 zitakazocheza ligi kuu msimu ujao .
Kama Mwadui na Kagera zitapoteza mchezo wa leo basi itakuwa fursa kwa Pamba na Geita kupanda chati na kupata nafasi ya kushiriki ligi kuu.
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na...
-
Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga Daktari Daniel Henry Na Isaac Masengwa ******************* Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga...
-
WATU saba wamefariki dunia baada ya bajaji waliyokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso na lori eneo la Mpemba, Tunduma wilayani Momba, mk...
-
Ninakualika kutazama Video Mpya kabisa mwaka 2021 kutoka kwa Msanii Yobat amemshirikisha Bhudagala Ng'wana Malonja na Shija Kadoke wim...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Tanzania November 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za ny...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 9, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na ...
-
Na Mbuke Shilagi Kagera. Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dkt. Doto Biteko amesema kuwa mradi wa umeme wa maji ya maporomoko wa Rusumo...
-
Msanii wa nyimbo za asili Nyanda Madirisha Obhado 'Maliganya' maarufu Shikomba Bhulolo anakualika kusikiliza wimbo wake mpya 2021 un...
-
Rais Uhuru Kenyatta na viongozi wengine nchini Kenya wametuma salamu zao za rambi rambi kwa familia ya marehemu Yusuf Haji. Rais Uhuru Kenya...
-
Kulia ni Mkurugenzi wa Stedom House of Beauty Bi. Stella Mhondo akigonga Cheers na wadau wa masuala ya Urembo na Vipodozi waliohudhuria uzin...
