WACHEZAJI saba miononi mwa wachezaji 32 wa timu ya taifa, Taifa Stars, waliokuwa waondoke kwenda kuweka kambi nchini Misri kwa ajili ya fainali za Kombe la Afrika ambazo zitafanyika nchini humo mwezi huu, wameachwa na kocha. Misri. Wachezaji waliomo katika msafara huo ni:
Magolikipa
1-Aishi Manula (Simba SC)
2-Metacha Mnata (Mbao)
3-Aron Kalambo (Tz Prisons)
4-Seleman Salula (Malindi)
5-Claryo Boniface (U20)
Mabeki
6-Hassan Kessy (Nkana, Zambia)
7-Vincent Philipo (Mbao)
8-Gadiel Michael (Yanga)
9-Mohamed Hussein (Simba)
10-Ally Sonso (Lipuli)
11-Erasto Nyoni (Simba)
12-Kelvin Yondani (Yanga)
13-David Mwantika (Azam)
14-Aggrey Morris (Azam)
15-Abdi Banda (Baroka, Afrika Kusini)
Viungo
16-Himid Mao (Petrojet, Misri)
17-Mudathir Yahya (Azam)
18-Feisal Salum (Yanga)
19-Fred Tangalu (Lipuli)
20-Frank Domayo (Azam)
Winga
21-Simon Msuva (Difaa El Jadid, Morocco)
22-Shiza Kichuya (ENPPI, Misri)
23-Farid Mussa (Tenerife, Hispania)
24-Miraji Athumani (Lipuli)
25-Yahya Zayd (Ismaily, Misri)
Washambuliaji
26-Thomas Ulimwengu (JS Soura, Algeria)
27-Shaban Idd Chulunda (Tenerife, Hispania)
28-John Bocco (Simba)
29-Mbwana Samatta (Genk, Ubelgiji)
30-Kelvin John Mbappé (U17)
31-Rashid Mandawa (BDF, Botswana)
32-Adi Yussuf (Solihull Moors, England)
Walioachwa
Ajib Migomba (Yanga)
Mkude Jonasi (SIMBA SC)
Kapombe Shomari (SIMBA SC)
Kennedy Wilson (Singida Utd)
Kasim Khamis (Kagera sugar)
Ayubu Lyanga (Coastal Union)
Ally Ally (KMC).
-
Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga Daktari Daniel Henry Na Isaac Masengwa ******************* Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga...
-
WATU saba wamefariki dunia baada ya bajaji waliyokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso na lori eneo la Mpemba, Tunduma wilayani Momba, mk...
-
Rais Uhuru Kenyatta na viongozi wengine nchini Kenya wametuma salamu zao za rambi rambi kwa familia ya marehemu Yusuf Haji. Rais Uhuru Kenya...
-
MWANA-mfalme wa Uingereza,. Prince Charles, ambaye ni mtoto wa kwanza wa Malkia Elizabeth wa Pili wa Uingereza, na mrithi wa kwanza katika ...
-
Mbunge wa Kigoma Mjini na Kiongozi Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe asomewa mashtaka matatu ya uchochezi, yenye nia ya kuleta ch...
-
Mfanyabiashara raia wa Kenya, Raphael Ongangi anayedaiwa kutekwa na watu wasiojulikana maeneo ya Oysterbay, Dar es Salaam nchini Tanzania am...
-
Vijana wametakiwa kuwa wazalendo katika nchi yao kwa kukemea vitendo viovu katika jamii na kutoa taarifa za uhalifu na wahalifu. Aidha Sil...
-
Zikiwa zimesalia siku chache tu Hoteli Mpya ya Kisasa yenye Ubora wa hali ya juu 'SHY PARK HOTEL' ifunguliwe Rasmi mwezi Agosti 202...
-
Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Jasinta Mboneko amefunga rasmi mafunzo ya sheria za usalama barabarani kwa maaskofu na wachungaji wa makanisa ya...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na...
