WACHEZAJI saba miononi mwa wachezaji 32 wa timu ya taifa, Taifa Stars, waliokuwa waondoke kwenda kuweka kambi nchini Misri kwa ajili ya fainali za Kombe la Afrika ambazo zitafanyika nchini humo mwezi huu, wameachwa na kocha. Misri. Wachezaji waliomo katika msafara huo ni:
Magolikipa
1-Aishi Manula (Simba SC)
2-Metacha Mnata (Mbao)
3-Aron Kalambo (Tz Prisons)
4-Seleman Salula (Malindi)
5-Claryo Boniface (U20)
Mabeki
6-Hassan Kessy (Nkana, Zambia)
7-Vincent Philipo (Mbao)
8-Gadiel Michael (Yanga)
9-Mohamed Hussein (Simba)
10-Ally Sonso (Lipuli)
11-Erasto Nyoni (Simba)
12-Kelvin Yondani (Yanga)
13-David Mwantika (Azam)
14-Aggrey Morris (Azam)
15-Abdi Banda (Baroka, Afrika Kusini)
Viungo
16-Himid Mao (Petrojet, Misri)
17-Mudathir Yahya (Azam)
18-Feisal Salum (Yanga)
19-Fred Tangalu (Lipuli)
20-Frank Domayo (Azam)
Winga
21-Simon Msuva (Difaa El Jadid, Morocco)
22-Shiza Kichuya (ENPPI, Misri)
23-Farid Mussa (Tenerife, Hispania)
24-Miraji Athumani (Lipuli)
25-Yahya Zayd (Ismaily, Misri)
Washambuliaji
26-Thomas Ulimwengu (JS Soura, Algeria)
27-Shaban Idd Chulunda (Tenerife, Hispania)
28-John Bocco (Simba)
29-Mbwana Samatta (Genk, Ubelgiji)
30-Kelvin John Mbappé (U17)
31-Rashid Mandawa (BDF, Botswana)
32-Adi Yussuf (Solihull Moors, England)
Walioachwa
Ajib Migomba (Yanga)
Mkude Jonasi (SIMBA SC)
Kapombe Shomari (SIMBA SC)
Kennedy Wilson (Singida Utd)
Kasim Khamis (Kagera sugar)
Ayubu Lyanga (Coastal Union)
Ally Ally (KMC).
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Tanzania November 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za ny...
-
Mhamasishaji maarufu wa mitandaoni, Mwijaku, ameandika ujumbe unaotoa ushauri kwa Rais wa klabu ya Yanga, Injinia Said Hersi, kupitia ukuras...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 9, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na ...
-
Zaidi ya ghorofa 100 jijini Dar es Salaam zilibainika kujengwa kinyume cha taratibu za ujenzi, Bunge lilielezwa. Kwa mujibu wa ripoti iliy...
-
Msimamo Ligi Kuu Bara 2024/2025 Msimamo Ligi Kuu Bara 2024/2025, NBC Premier League Tanzania Msimamo Ligi Kuu NBC 2024/2025 Tanzania Premier...
-
Msanii maarufu Ntemi O Mabala ' Ng'wana Kang'wa kutoka Kahama Mkoani Shinyanga anakualika kusikiliza wimbo wake mpya unaitwa M...
-
Hii hapa ngoma mpya ya Msanii wa Nyimbo za asili Mama Ushauri ameshirikiana na Ng'wana Ng'washi inaitwa Merimela ,imetengenezwa Lw...
-
Na Mbuke Shilagi Kagera. Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dkt. Doto Biteko amesema kuwa mradi wa umeme wa maji ya maporomoko wa Rusumo...
-
Msanii wa nyimbo za asili Nyanda Madirisha Obhado 'Maliganya' maarufu Shikomba Bhulolo anakualika kusikiliza wimbo wake mpya 2021 un...