Monday, April 1, 2019
Waziri wa Madini ataoa maagizo mazito kwa Katibu Mtendaji wa Tume ya Madini
Waziri wa Madini Dotto Biteko amemuagiza Katibu Mtendaji wa Tume ya Madini Prof. Shukrani Manya kuwasimamisha kazi watumishi wote wa sekta ya Madini Chunya kwa tuhuma za udanganyifu.
Akizungumza na wachimbaji wadogo wilayani Chunya, Waziri Biteko amesema watumishi hao 13 wamekuwa wakishiriki katika kukwepa kodi.
Awali Waziri hiyo aliliagiza Jeshi la Polisi mkoani Mbeya kumsaka mmiliki wa mgodi wa kuchenjua dhahabu, Ntorah Gold & Diamond Investment Co. Ltd baada ya madai ya kutoweka kwa kilo 30 za dhahabu ambazo haziko kwenye kumbukumbu ya vitabu vilivyotolewa na serikali. Tayari msimamizi wa mgodi huo aliyefahamika kwa jina moja la Mussa ametiwa mbaroni.
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Tanzania November 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za ny...
-
Mhamasishaji maarufu wa mitandaoni, Mwijaku, ameandika ujumbe unaotoa ushauri kwa Rais wa klabu ya Yanga, Injinia Said Hersi, kupitia ukuras...
-
Zaidi ya ghorofa 100 jijini Dar es Salaam zilibainika kujengwa kinyume cha taratibu za ujenzi, Bunge lilielezwa. Kwa mujibu wa ripoti iliy...
-
Msimamo Ligi Kuu Bara 2024/2025 Msimamo Ligi Kuu Bara 2024/2025, NBC Premier League Tanzania Msimamo Ligi Kuu NBC 2024/2025 Tanzania Premier...
-
Na Mbuke Shilagi Kagera. Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dkt. Doto Biteko amesema kuwa mradi wa umeme wa maji ya maporomoko wa Rusumo...
-
Msanii wa nyimbo za asili Nyanda Madirisha Obhado 'Maliganya' maarufu Shikomba Bhulolo anakualika kusikiliza wimbo wake mpya 2021 un...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 9, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na ...
-
Msanii maarufu Ntemi O Mabala ' Ng'wana Kang'wa kutoka Kahama Mkoani Shinyanga anakualika kusikiliza wimbo wake mpya unaitwa M...
-
Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga Daktari Daniel Henry Na Isaac Masengwa ******************* Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga...
