Monday, April 1, 2019
Waziri wa Madini ataoa maagizo mazito kwa Katibu Mtendaji wa Tume ya Madini
Waziri wa Madini Dotto Biteko amemuagiza Katibu Mtendaji wa Tume ya Madini Prof. Shukrani Manya kuwasimamisha kazi watumishi wote wa sekta ya Madini Chunya kwa tuhuma za udanganyifu.
Akizungumza na wachimbaji wadogo wilayani Chunya, Waziri Biteko amesema watumishi hao 13 wamekuwa wakishiriki katika kukwepa kodi.
Awali Waziri hiyo aliliagiza Jeshi la Polisi mkoani Mbeya kumsaka mmiliki wa mgodi wa kuchenjua dhahabu, Ntorah Gold & Diamond Investment Co. Ltd baada ya madai ya kutoweka kwa kilo 30 za dhahabu ambazo haziko kwenye kumbukumbu ya vitabu vilivyotolewa na serikali. Tayari msimamizi wa mgodi huo aliyefahamika kwa jina moja la Mussa ametiwa mbaroni.
-
Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga Daktari Daniel Henry Na Isaac Masengwa ******************* Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga...
-
Rais Uhuru Kenyatta na viongozi wengine nchini Kenya wametuma salamu zao za rambi rambi kwa familia ya marehemu Yusuf Haji. Rais Uhuru Kenya...
-
WATU saba wamefariki dunia baada ya bajaji waliyokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso na lori eneo la Mpemba, Tunduma wilayani Momba, mk...
-
Kulia ni Mkurugenzi wa Stedom House of Beauty Bi. Stella Mhondo akigonga Cheers na wadau wa masuala ya Urembo na Vipodozi waliohudhuria uzin...
-
MWANA-mfalme wa Uingereza,. Prince Charles, ambaye ni mtoto wa kwanza wa Malkia Elizabeth wa Pili wa Uingereza, na mrithi wa kwanza katika ...
-
Mfanyabiashara raia wa Kenya, Raphael Ongangi anayedaiwa kutekwa na watu wasiojulikana maeneo ya Oysterbay, Dar es Salaam nchini Tanzania am...
-
Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Jasinta Mboneko amefunga rasmi mafunzo ya sheria za usalama barabarani kwa maaskofu na wachungaji wa makanisa ya...
-
Vijana wametakiwa kuwa wazalendo katika nchi yao kwa kukemea vitendo viovu katika jamii na kutoa taarifa za uhalifu na wahalifu. Aidha Sil...
-
Zikiwa zimesalia siku chache tu Hoteli Mpya ya Kisasa yenye Ubora wa hali ya juu 'SHY PARK HOTEL' ifunguliwe Rasmi mwezi Agosti 202...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na...
