Monday, April 1, 2019
Waziri wa Madini ataoa maagizo mazito kwa Katibu Mtendaji wa Tume ya Madini
Waziri wa Madini Dotto Biteko amemuagiza Katibu Mtendaji wa Tume ya Madini Prof. Shukrani Manya kuwasimamisha kazi watumishi wote wa sekta ya Madini Chunya kwa tuhuma za udanganyifu.
Akizungumza na wachimbaji wadogo wilayani Chunya, Waziri Biteko amesema watumishi hao 13 wamekuwa wakishiriki katika kukwepa kodi.
Awali Waziri hiyo aliliagiza Jeshi la Polisi mkoani Mbeya kumsaka mmiliki wa mgodi wa kuchenjua dhahabu, Ntorah Gold & Diamond Investment Co. Ltd baada ya madai ya kutoweka kwa kilo 30 za dhahabu ambazo haziko kwenye kumbukumbu ya vitabu vilivyotolewa na serikali. Tayari msimamizi wa mgodi huo aliyefahamika kwa jina moja la Mussa ametiwa mbaroni.
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na...
-
Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga Daktari Daniel Henry Na Isaac Masengwa ******************* Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga...
-
WATU saba wamefariki dunia baada ya bajaji waliyokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso na lori eneo la Mpemba, Tunduma wilayani Momba, mk...
-
Ninakualika kutazama Video Mpya kabisa mwaka 2021 kutoka kwa Msanii Yobat amemshirikisha Bhudagala Ng'wana Malonja na Shija Kadoke wim...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Tanzania November 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za ny...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 9, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na ...
-
Na Mbuke Shilagi Kagera. Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dkt. Doto Biteko amesema kuwa mradi wa umeme wa maji ya maporomoko wa Rusumo...
-
Msanii wa nyimbo za asili Nyanda Madirisha Obhado 'Maliganya' maarufu Shikomba Bhulolo anakualika kusikiliza wimbo wake mpya 2021 un...
-
Rais Uhuru Kenyatta na viongozi wengine nchini Kenya wametuma salamu zao za rambi rambi kwa familia ya marehemu Yusuf Haji. Rais Uhuru Kenya...
-
Kulia ni Mkurugenzi wa Stedom House of Beauty Bi. Stella Mhondo akigonga Cheers na wadau wa masuala ya Urembo na Vipodozi waliohudhuria uzin...
