Friday, April 26, 2019
Viwanja vinauzwa Bunju na Mapinga
Kwa Mapinga, vipo viwanja vya ukubwa wa sqm 400, 600, 800, 1000, 1200, 1600, 2000 na 2400 na bei ya sqm moja ni tshs 12,000
Viwanja hivi viko umbali wa km 2 tu kutoka main road (Dar to Bagamoyo). Huduma za umeme na maji zipo na luksa kulipa kwa awamu 2/3, ukilipa kwa awamu moja tu bei inapungua.
Kwa Bunju (dsm), vipo viwanja ukubwa wa sqm 600, sqm 1200 na sqm 1700 na bei ya kila sqm ni tshs 30,000 na viwanja hivi viko umbali wa km 1 kutoka main road.
Biashara hii haina dalali/udalali.
CALL 0758603077, WHATSAP 0757489709
Ukipata ujumbe huu, share na rafiki/ndugu/jamaa
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Tanzania November 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za ny...
-
Mhamasishaji maarufu wa mitandaoni, Mwijaku, ameandika ujumbe unaotoa ushauri kwa Rais wa klabu ya Yanga, Injinia Said Hersi, kupitia ukuras...
-
Zaidi ya ghorofa 100 jijini Dar es Salaam zilibainika kujengwa kinyume cha taratibu za ujenzi, Bunge lilielezwa. Kwa mujibu wa ripoti iliy...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 9, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na ...
-
Msimamo Ligi Kuu Bara 2024/2025 Msimamo Ligi Kuu Bara 2024/2025, NBC Premier League Tanzania Msimamo Ligi Kuu NBC 2024/2025 Tanzania Premier...
-
Msanii maarufu Ntemi O Mabala ' Ng'wana Kang'wa kutoka Kahama Mkoani Shinyanga anakualika kusikiliza wimbo wake mpya unaitwa M...
-
Na Mbuke Shilagi Kagera. Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dkt. Doto Biteko amesema kuwa mradi wa umeme wa maji ya maporomoko wa Rusumo...
-
Hii hapa ngoma mpya ya Msanii wa Nyimbo za asili Mama Ushauri ameshirikiana na Ng'wana Ng'washi inaitwa Merimela ,imetengenezwa Lw...
-
Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala ndogo ya Dar es Salaam, imetupilia mbali shauri lililokuwa limefunguliwa na Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina...