Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Magufuli akiendelea na ziara yake mkoani Mtwara amesema kuwa anaunga mkono kile alichosikia ni kutengenezwa kwa juisi ya korosho
Ameeleza hayo katika hafla ya kuweka jiwe la msingi la Ujenzi wa barabara ya Mtwara ,Newala -Masasi Km 210 Sehemu ya Mtwara -Mnivata Km 50.
"Nimeambiwa mnafanya utafiti wa kutengeneza juisi kutoka kwenye korosho, kama ni divai ya korosho itengenezwe,kama ni gongo ambayo ni spesho itengenezeni iliyopimwa, kwasababu hata hizi pombe kali nazo si gongo sema imepimwa... anayetaka kulewa kwa dakika mbili alewe," amesema Rais Magufuli
Amendelea kwa kusema, 'Huwezi serikali ikanunua korosho kwa kilo 3500 halafu ianze kulipia tena kodi kwenye Halmashauri ambayo ilishindwa kununua korosho,kwa hiyo hakuna ushuru wa Halmashauri ,hata senti tano hampati, mkitaka ushuru simamieni vizuri'.
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na...
-
Na Mbuke Shilagi Kagera. Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dkt. Doto Biteko amesema kuwa mradi wa umeme wa maji ya maporomoko wa Rusumo...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Tanzania November 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za ny...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 9, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na ...
-
Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga Daktari Daniel Henry Na Isaac Masengwa ******************* Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga...
-
Mhamasishaji maarufu wa mitandaoni, Mwijaku, ameandika ujumbe unaotoa ushauri kwa Rais wa klabu ya Yanga, Injinia Said Hersi, kupitia ukuras...
-
Msimamo Ligi Kuu Bara 2024/2025 Msimamo Ligi Kuu Bara 2024/2025, NBC Premier League Tanzania Msimamo Ligi Kuu NBC 2024/2025 Tanzania Premier...
-
Zaidi ya ghorofa 100 jijini Dar es Salaam zilibainika kujengwa kinyume cha taratibu za ujenzi, Bunge lilielezwa. Kwa mujibu wa ripoti iliy...
-
Msanii wa nyimbo za asili Nyanda Madirisha Obhado 'Maliganya' maarufu Shikomba Bhulolo anakualika kusikiliza wimbo wake mpya 2021 un...
-
Ninakualika kutazama Video Mpya kabisa mwaka 2021 kutoka kwa Msanii Yobat amemshirikisha Bhudagala Ng'wana Malonja na Shija Kadoke wim...
