Mtu mmoja aliyefahamika kwa majina ya Ibrahim Hassan (7) amefariki Dunia baada ya kukanyagwa na mashabiki waliojitokeza Uwanja wa Taifa jana Jumapili kwenye mchezo kati ya Taifa Stars na Uganda.
Akidhibitisha taarifa hizo, Muuguzi wa zamu wa Hospitali ya Temeke, Rolester Kinunda amesema kuwa jana walipokea watu 18 waliopata majeraha kwenye vurugu zilizotokea Uwanja wa Taifa na miongoni mwa majeruhi hao alikuwa ni huyo mtoto Ibrahim Hassan.
"Majeruhi wote ukiachilia aliyefariki, walipata michubuko na wengine walikuwa wakilalamika kupata maumivu ya kifua, walipimwa na kuonekana hawajaumia ndani, hivyo walipatiwa dawa za maumivu na kuruhusiwa,"amesema Kinunda.
Mwili wa mtoto huyo umehifadhiwa katika Hospitali ya Rufaa ya Temeke kusubiria taratibu za mazishi.
Jana kwenye mchezo kati ya Taifa Stars dhidi ya Uganda, kulizuka vurugu ambazo zilipelekea geti la kuingilia kuvunjwa na mamia ya watu kukanyagana.
Source
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na...
-
Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga Daktari Daniel Henry Na Isaac Masengwa ******************* Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga...
-
WATU saba wamefariki dunia baada ya bajaji waliyokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso na lori eneo la Mpemba, Tunduma wilayani Momba, mk...
-
Ninakualika kutazama Video Mpya kabisa mwaka 2021 kutoka kwa Msanii Yobat amemshirikisha Bhudagala Ng'wana Malonja na Shija Kadoke wim...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Tanzania November 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za ny...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 9, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na ...
-
Na Mbuke Shilagi Kagera. Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dkt. Doto Biteko amesema kuwa mradi wa umeme wa maji ya maporomoko wa Rusumo...
-
Msanii wa nyimbo za asili Nyanda Madirisha Obhado 'Maliganya' maarufu Shikomba Bhulolo anakualika kusikiliza wimbo wake mpya 2021 un...
-
Rais Uhuru Kenyatta na viongozi wengine nchini Kenya wametuma salamu zao za rambi rambi kwa familia ya marehemu Yusuf Haji. Rais Uhuru Kenya...
-
Kulia ni Mkurugenzi wa Stedom House of Beauty Bi. Stella Mhondo akigonga Cheers na wadau wa masuala ya Urembo na Vipodozi waliohudhuria uzin...
