Mtu mmoja aliyefahamika kwa majina ya Ibrahim Hassan (7) amefariki Dunia baada ya kukanyagwa na mashabiki waliojitokeza Uwanja wa Taifa jana Jumapili kwenye mchezo kati ya Taifa Stars na Uganda.
Akidhibitisha taarifa hizo, Muuguzi wa zamu wa Hospitali ya Temeke, Rolester Kinunda amesema kuwa jana walipokea watu 18 waliopata majeraha kwenye vurugu zilizotokea Uwanja wa Taifa na miongoni mwa majeruhi hao alikuwa ni huyo mtoto Ibrahim Hassan.
"Majeruhi wote ukiachilia aliyefariki, walipata michubuko na wengine walikuwa wakilalamika kupata maumivu ya kifua, walipimwa na kuonekana hawajaumia ndani, hivyo walipatiwa dawa za maumivu na kuruhusiwa,"amesema Kinunda.
Mwili wa mtoto huyo umehifadhiwa katika Hospitali ya Rufaa ya Temeke kusubiria taratibu za mazishi.
Jana kwenye mchezo kati ya Taifa Stars dhidi ya Uganda, kulizuka vurugu ambazo zilipelekea geti la kuingilia kuvunjwa na mamia ya watu kukanyagana.
Source
-
Baadhi ya raia walioyatoroka makaazi yao baada ya mlipuko wa volkano uliotokea usiku wa kuamkia huko mjini Goma mashariki mwa Jamhuri ya Kid...
-
Bongo Deco wauzai wa vifaa mbalimbali vya umeme kama TV, Subwoofer, Hometheator, Majiko madogo na makubwa ya Gesi, Friji, Generator nk leo w...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 9, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na ...
-
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (kulia)akimsikiliza Waziri wa Maliasili na Utalii wa Jamhuri ya ...
-
Balozi mpya wa Kenya nchini Tanzania, Dan Kazungu akitoa hotuba yake kwa wageni mbalimbali waliohudhulia dhifa iliyoandaliwa maalum kwa kumk...
-
Msanii maarufu Ntemi O Mabala ' Ng'wana Kang'wa kutoka Kahama Mkoani Shinyanga anakualika kusikiliza wimbo wake mpya unaitwa M...
-
Hii hapa ngoma mpya ya Msanii wa Nyimbo za asili Mama Ushauri ameshirikiana na Ng'wana Ng'washi inaitwa Merimela ,imetengenezwa Lw...
-
Wanajeshi wawili wa kulinda amani wa Umoja wa Mataifa wamejeruhiwa baada ya kifaru cha Israel kufyatua risasi kuelekea mnara wa Umoja wa M...
-
Katika kila makabiliano ya kijeshi kati ya Israel na Lebanon, bila kujali ni upande gani unaopigana huko Lebanon, Mto Litani, moja ya mito...
-
Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) imesema kuanzia kesho Jumatano Juni 23, 2021 itakuwa ni marufuku kwa mtu yeyote kuingia eneo la hospita...