
Infinix ZERO 6 inapatikana katika maduka ya Infinix na Vodacom ikiwa na ofa ya GB 12 kwa miezi mitatu na zawadi nyingine. na Kutokana na ubora wa camera ya ZERO6, Infinix wanawapa wateja wao nafasi ya kujishindia Dola 10,000 (Sawa na Millioni 23 za Tanzania) kupitia kampeni yao ya "Beautiful Pictures". Kufahamu zaidi namna ya kushiriki, tembelea kurasa zao za Facebook Infinix Mobile Tanzania.
Kwa maelezo Zaidi kuhusiana na bidhaa za Infinix tembelea:
http://www.infinixmobility.com/