Tuesday, March 12, 2019
Huyu Ndiye Rubani wa Ndege ya Ethiopia Iliyoanguka na Kuua Abiria Wote, Yasemekana Alijaribu Kuokoa Ikashindikana
Anaitwa Yared Getachew Mulugeta
ndie alikuwa Rubani wa ndege Ethiopian airlines iliyoanguka jana ambayo ilikuwa inatoka uwanja wa Addis Ababa kuelekea Nairobi.
Mulugeta alianza urubani toka mwaka 2010. Inaelezwa ndugu Mulugeta alipambana kurudisha ndege uwanjani baada ya hitlafu ya ndege ila ilishindikana na kuanguka.
Ndege hiyo iliyoanguka jana ili nunuliwa Miezi minne(4) iliyopita. Abiria wote 149 na wafanyakazi 8 waliokuwemo kwenye ndege hiyo akiwemo yeye wamekufa baada ya ndege hiyo kulipuka. Cha kusikitisha zaidi ni kwamba ndege hiyo ilianguka dakika 6 tu toka itoke uwanjani mjini Addis Ababa, hakika wanadamu hakuna aijuaye kesho yake, Mwenyezi Mungu atufanyie wepesi kwakweli inauma sana.
-
Baadhi ya raia walioyatoroka makaazi yao baada ya mlipuko wa volkano uliotokea usiku wa kuamkia huko mjini Goma mashariki mwa Jamhuri ya Kid...
-
Bongo Deco wauzai wa vifaa mbalimbali vya umeme kama TV, Subwoofer, Hometheator, Majiko madogo na makubwa ya Gesi, Friji, Generator nk leo w...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 9, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na ...
-
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (kulia)akimsikiliza Waziri wa Maliasili na Utalii wa Jamhuri ya ...
-
Balozi mpya wa Kenya nchini Tanzania, Dan Kazungu akitoa hotuba yake kwa wageni mbalimbali waliohudhulia dhifa iliyoandaliwa maalum kwa kumk...
-
Wanajeshi wawili wa kulinda amani wa Umoja wa Mataifa wamejeruhiwa baada ya kifaru cha Israel kufyatua risasi kuelekea mnara wa Umoja wa M...
-
Katika kila makabiliano ya kijeshi kati ya Israel na Lebanon, bila kujali ni upande gani unaopigana huko Lebanon, Mto Litani, moja ya mito...
-
Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) imesema kuanzia kesho Jumatano Juni 23, 2021 itakuwa ni marufuku kwa mtu yeyote kuingia eneo la hospita...
-
Hii hapa ngoma mpya ya Msanii wa Nyimbo za asili Mama Ushauri ameshirikiana na Ng'wana Ng'washi inaitwa Merimela ,imetengenezwa Lw...
-
Mamlaka za China zipo mbioni kudhibiti ongezeko la harusi za kifahari amabazo zimekuwa zikishamiri katika miaka ya karibuni. Kwamujibu wa ma...