Tuesday, March 12, 2019
Huyu Ndiye Rubani wa Ndege ya Ethiopia Iliyoanguka na Kuua Abiria Wote, Yasemekana Alijaribu Kuokoa Ikashindikana
Anaitwa Yared Getachew Mulugeta
ndie alikuwa Rubani wa ndege Ethiopian airlines iliyoanguka jana ambayo ilikuwa inatoka uwanja wa Addis Ababa kuelekea Nairobi.
Mulugeta alianza urubani toka mwaka 2010. Inaelezwa ndugu Mulugeta alipambana kurudisha ndege uwanjani baada ya hitlafu ya ndege ila ilishindikana na kuanguka.
Ndege hiyo iliyoanguka jana ili nunuliwa Miezi minne(4) iliyopita. Abiria wote 149 na wafanyakazi 8 waliokuwemo kwenye ndege hiyo akiwemo yeye wamekufa baada ya ndege hiyo kulipuka. Cha kusikitisha zaidi ni kwamba ndege hiyo ilianguka dakika 6 tu toka itoke uwanjani mjini Addis Ababa, hakika wanadamu hakuna aijuaye kesho yake, Mwenyezi Mungu atufanyie wepesi kwakweli inauma sana.
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na...
-
Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga Daktari Daniel Henry Na Isaac Masengwa ******************* Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga...
-
WATU saba wamefariki dunia baada ya bajaji waliyokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso na lori eneo la Mpemba, Tunduma wilayani Momba, mk...
-
Ninakualika kutazama Video Mpya kabisa mwaka 2021 kutoka kwa Msanii Yobat amemshirikisha Bhudagala Ng'wana Malonja na Shija Kadoke wim...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Tanzania November 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za ny...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 9, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na ...
-
Na Mbuke Shilagi Kagera. Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dkt. Doto Biteko amesema kuwa mradi wa umeme wa maji ya maporomoko wa Rusumo...
-
Msanii wa nyimbo za asili Nyanda Madirisha Obhado 'Maliganya' maarufu Shikomba Bhulolo anakualika kusikiliza wimbo wake mpya 2021 un...
-
Rais Uhuru Kenyatta na viongozi wengine nchini Kenya wametuma salamu zao za rambi rambi kwa familia ya marehemu Yusuf Haji. Rais Uhuru Kenya...
-
Kulia ni Mkurugenzi wa Stedom House of Beauty Bi. Stella Mhondo akigonga Cheers na wadau wa masuala ya Urembo na Vipodozi waliohudhuria uzin...
