Thursday, February 28, 2019

Waandaaji wa shindano la wanawake wenye makalio makubwa watua kwa spika wa bunge Uganda, ni baada ya kupingwa vikali, zaidi ya washiriki 200 wajitokeza

Waandaajii wa shindano la wanawake walio na maumbo makubwa nchini Uganda wamewasilisha malalamiko yao kwa spika wa bunge kufafanua madhumuni yao. Wamesema kuwa lengo lao sio kutumia shindano la ‘Miss Curvy Uganda” kuvutia watalii kuja nchini humo. ”Haya ni mashindano ya urembo wa wanawake wanene”alisema Annie Mungoma, mkurugenzi mkuu wa mashindano hayo. Bi. Mugoma aliongeza …

The post Waandaaji wa shindano la wanawake wenye makalio makubwa watua kwa spika wa bunge Uganda, ni baada ya kupingwa vikali, zaidi ya washiriki 200 wajitokeza appeared first on Bongo5.com.


Source
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...