Wednesday, February 27, 2019

Mzee Kikwete alizwa na kifo cha Ruge ‘nakosa maneno ya kuelezea’

Rais mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Jakaya Kikwete ameeleza maumivu aliyonayo kufuatia  kifo cha Mkurugenzi wa Vipindi na Uzalishaji wa Clouds Media Group, Ruge Mutahaba. Dkt. Kikwete na Marehemu Ruge Mzee Kikwete kupitia ukurasa wake wa Twitter, Kameandika ujumbe  maneno yaliyosomeka. "Nimelemewa! Nakosa maneno ya kuelezea huzuni na majonzi niliyonayo kwa kifo …

The post Mzee Kikwete alizwa na kifo cha Ruge ‘nakosa maneno ya kuelezea’ appeared first on Bongo5.com.


Source
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...