Meneja wa msanii Diamond Platnumz amefunguka mengi kupitia ukurasa wake wa Instagram huku akiwashauri vijana sana katika kipindi hiki ambacho amedai ni miaka 20 ya Mkubwa Fela.
Mkubwa fela ambaye pia ni diwani ameongea hayo wakati huu ikiwa ndio tamasha la Wasafi Festival, Mkubwa Fela ameongea haya yafuatayo:- " Sijawahi kumdharau yoyote na usiogope kunisogelea unaweza kupishana na movie MUNGU anasema kama nimetuma mitume yangu kutangaza neno langu na kuna watu wanapinga je mie niwe nani nisipingwe tena nafanya kazi isiyo ya MUNGU pia ukitoa sapoti ukitajwa ujatajwa mwenyeziMUNGU bado yupo nawe mtoaji aya vijana tumieni muda mwingi kutambua vipawa vyenu na kuviendeleza kuliko kukata tamaa #miaka20yamkubwafella#MchezoUsiuchezeeWewe wadau kesho IRINGA Uwanja wa samora".
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Tanzania November 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za ny...
-
Mhamasishaji maarufu wa mitandaoni, Mwijaku, ameandika ujumbe unaotoa ushauri kwa Rais wa klabu ya Yanga, Injinia Said Hersi, kupitia ukuras...
-
Zaidi ya ghorofa 100 jijini Dar es Salaam zilibainika kujengwa kinyume cha taratibu za ujenzi, Bunge lilielezwa. Kwa mujibu wa ripoti iliy...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 9, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na ...
-
Msimamo Ligi Kuu Bara 2024/2025 Msimamo Ligi Kuu Bara 2024/2025, NBC Premier League Tanzania Msimamo Ligi Kuu NBC 2024/2025 Tanzania Premier...
-
Msanii maarufu Ntemi O Mabala ' Ng'wana Kang'wa kutoka Kahama Mkoani Shinyanga anakualika kusikiliza wimbo wake mpya unaitwa M...
-
Na Mbuke Shilagi Kagera. Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dkt. Doto Biteko amesema kuwa mradi wa umeme wa maji ya maporomoko wa Rusumo...
-
Hii hapa ngoma mpya ya Msanii wa Nyimbo za asili Mama Ushauri ameshirikiana na Ng'wana Ng'washi inaitwa Merimela ,imetengenezwa Lw...
-
Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala ndogo ya Dar es Salaam, imetupilia mbali shauri lililokuwa limefunguliwa na Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina...