Meneja wa msanii Diamond Platnumz amefunguka mengi kupitia ukurasa wake wa Instagram huku akiwashauri vijana sana katika kipindi hiki ambacho amedai ni miaka 20 ya Mkubwa Fela.
Mkubwa fela ambaye pia ni diwani ameongea hayo wakati huu ikiwa ndio tamasha la Wasafi Festival, Mkubwa Fela ameongea haya yafuatayo:- " Sijawahi kumdharau yoyote na usiogope kunisogelea unaweza kupishana na movie MUNGU anasema kama nimetuma mitume yangu kutangaza neno langu na kuna watu wanapinga je mie niwe nani nisipingwe tena nafanya kazi isiyo ya MUNGU pia ukitoa sapoti ukitajwa ujatajwa mwenyeziMUNGU bado yupo nawe mtoaji aya vijana tumieni muda mwingi kutambua vipawa vyenu na kuviendeleza kuliko kukata tamaa #miaka20yamkubwafella#MchezoUsiuchezeeWewe wadau kesho IRINGA Uwanja wa samora".
-
Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga Daktari Daniel Henry Na Isaac Masengwa ******************* Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga...
-
WATU saba wamefariki dunia baada ya bajaji waliyokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso na lori eneo la Mpemba, Tunduma wilayani Momba, mk...
-
Rais Uhuru Kenyatta na viongozi wengine nchini Kenya wametuma salamu zao za rambi rambi kwa familia ya marehemu Yusuf Haji. Rais Uhuru Kenya...
-
MWANA-mfalme wa Uingereza,. Prince Charles, ambaye ni mtoto wa kwanza wa Malkia Elizabeth wa Pili wa Uingereza, na mrithi wa kwanza katika ...
-
Mfanyabiashara raia wa Kenya, Raphael Ongangi anayedaiwa kutekwa na watu wasiojulikana maeneo ya Oysterbay, Dar es Salaam nchini Tanzania am...
-
Zikiwa zimesalia siku chache tu Hoteli Mpya ya Kisasa yenye Ubora wa hali ya juu 'SHY PARK HOTEL' ifunguliwe Rasmi mwezi Agosti 202...
-
Vijana wametakiwa kuwa wazalendo katika nchi yao kwa kukemea vitendo viovu katika jamii na kutoa taarifa za uhalifu na wahalifu. Aidha Sil...
-
Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Jasinta Mboneko amefunga rasmi mafunzo ya sheria za usalama barabarani kwa maaskofu na wachungaji wa makanisa ya...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na...
-
Mbunge wa Kigoma Mjini na Kiongozi Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe asomewa mashtaka matatu ya uchochezi, yenye nia ya kuleta ch...

