Thursday, November 1, 2018

Idara ya Uhamiaji Nchini Yakamata Wahamaji Haramu 10,.396


Wahamiaji hao wamekamatwa katika kipindi cha kuanzia mwezi Januari hadi Septemba mwaka huu, kati ya hao 5,453 waliondoshwa nchini

Aidha, wengine 2,181 wamefikishwa Mahakamani kwa makosa ya uhamiaji na waliofungwa kwenye magereza mbalimbali ni Wahamiaji 240
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...