Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe Mh, Jokate Mwegelo amemsaidia mama aliyejifungua watoto mapacha waliyo ungana maini kupata bima ya afya na nyumba bora ya kuishi kutoka UBA United Bank for Africa hii inakuja mara baada ya mama huyo pamoja na watoto wake kupata ruksa ya kurejea nyumbani kwao Kisarawe.
Mama huyo wa watoto mapacha Gracious na Precious Michael Mkono wamepata ruksa rasmi katika Hospitali ya Muhimbili mara baada ya kufika hapo toka tarehe 21/07/2018 kupata matibabu baada ya kujifungulia nyumbani.
Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), imefanikiwa kufanya upasuaji huo wa kuwatenganisha mapacha hao walioungana wakiwa chini ya miaka mitatu, ambao wamezaliwa Kisarawe mkoani Pwani, Julai 12, mwaka huu. Jumatano ya Septemba 26, Mkurugenzi Mtendaji wa MNH Profesa Laurence Moselu, alisema upasuaji huo uliofanyika Septemba 23, kwa mafanikio makubwa ilienda vizuri.
Kwa mujibu wa Daktari bingwa wa upasuaji kwa watoto Dkt. Petronila Ngiloi amesema mapacha hao walizaliwa na mama yao aitwaye Esta (22) nyumbani kwao Kisarawe, alikozalishwa nyumbani baada ya kugundua watoto wameungana walipelekwa Kituo cha Afya cha Kibaha na baadaye kuhamishiwa Muhimbili wakiwa wamechoka sana.
Amesema watoto hao walipochunguzwa iligundulika wameungana sehemu kubwa ya ini na ikaonekana upasuaji huo unaweza kufanyika MNH ambapo walifanya kazi ili kuona mama huyo anapata huduma nzuri
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na...
-
Na Mbuke Shilagi Kagera. Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dkt. Doto Biteko amesema kuwa mradi wa umeme wa maji ya maporomoko wa Rusumo...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Tanzania November 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za ny...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 9, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na ...
-
Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga Daktari Daniel Henry Na Isaac Masengwa ******************* Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga...
-
Mhamasishaji maarufu wa mitandaoni, Mwijaku, ameandika ujumbe unaotoa ushauri kwa Rais wa klabu ya Yanga, Injinia Said Hersi, kupitia ukuras...
-
Msimamo Ligi Kuu Bara 2024/2025 Msimamo Ligi Kuu Bara 2024/2025, NBC Premier League Tanzania Msimamo Ligi Kuu NBC 2024/2025 Tanzania Premier...
-
Zaidi ya ghorofa 100 jijini Dar es Salaam zilibainika kujengwa kinyume cha taratibu za ujenzi, Bunge lilielezwa. Kwa mujibu wa ripoti iliy...
-
Msanii wa nyimbo za asili Nyanda Madirisha Obhado 'Maliganya' maarufu Shikomba Bhulolo anakualika kusikiliza wimbo wake mpya 2021 un...
-
Ninakualika kutazama Video Mpya kabisa mwaka 2021 kutoka kwa Msanii Yobat amemshirikisha Bhudagala Ng'wana Malonja na Shija Kadoke wim...
