Uongozi wa timu ya Yanga umetoa tahadhari kwa wapinzani wao Lipuli FC ya kutoka mkoani Iringa ambao watacheza nao kesho katika Uwanja wa Taifa mchezo wa Ligi Kuu Bara.
Mwenyekiti wa Kamati ya Mashindano ya Yanga, Hussen Nyika amesema kuwa ukubwa wa kikosi cha Yanga unapaswa uheshimiwe na wapinzani kwakuwa kikosi kimejipanga kuhakikisha wanapata pointi tatu.
"Timu yetu ni kubwa, ina uwezo mkubwa wa kushindana hasa kutokana na aina ya wachezaji walio na mbinu ambazo wanapewa, tunaiheshimu Lipuli ila tutahakikisha tunapata matokeo katika mchezo wetu ambao tutakuwa nyumbani," alisema.
Yanga wamecheza michezo nane mpaka sasa kwenye ligi kuu, yote wamecheza katika uwanja wa Taifa, Dar es Salaam, kesho watakuwa na kibarua cha kucheza na Lipuli FC iliyo chini ya Selemani Matola.
Source
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na...
-
Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga Daktari Daniel Henry Na Isaac Masengwa ******************* Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga...
-
WATU saba wamefariki dunia baada ya bajaji waliyokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso na lori eneo la Mpemba, Tunduma wilayani Momba, mk...
-
Ninakualika kutazama Video Mpya kabisa mwaka 2021 kutoka kwa Msanii Yobat amemshirikisha Bhudagala Ng'wana Malonja na Shija Kadoke wim...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Tanzania November 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za ny...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 9, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na ...
-
Na Mbuke Shilagi Kagera. Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dkt. Doto Biteko amesema kuwa mradi wa umeme wa maji ya maporomoko wa Rusumo...
-
Msanii wa nyimbo za asili Nyanda Madirisha Obhado 'Maliganya' maarufu Shikomba Bhulolo anakualika kusikiliza wimbo wake mpya 2021 un...
-
Rais Uhuru Kenyatta na viongozi wengine nchini Kenya wametuma salamu zao za rambi rambi kwa familia ya marehemu Yusuf Haji. Rais Uhuru Kenya...
-
Kulia ni Mkurugenzi wa Stedom House of Beauty Bi. Stella Mhondo akigonga Cheers na wadau wa masuala ya Urembo na Vipodozi waliohudhuria uzin...
