Wednesday, October 31, 2018

Yametimia! Hatimaye Issac Gamba Azikwa Nyumbani Kwao Bunda

Yametimia! Hatimaye Issac Gamba Azikwa Nyumbani Kwao Bunda
SIMANZI NA MAJONZI vimetawala wakati mwili wa aliyekuwa mtangazaji wa Idhaa ya Kiswahili ya Deutsche Welle (DW) nchini Ujerumani, Isaac Muyenjwa Gamba ukizikwa kwenye makaburi ya familia yao, leo Jumatano, Oktoba 3i, 2018, Bunda mkoani Mara.
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...