Tuesday, October 30, 2018

Mwili wa Issac Gamba Wawasili kwao Bunda Vilio vyatawala

Mwili wa Issac Gamba Wawasili kwao Bunda Vilio vyatawala
VILIO, simanzi na simanzi vimetawala wakati mwili wa wa aliyekuwa mtangazaji wa Idhaa ya Kiswahili ya Deutsche Welle (DW) nchini Ujerumani, marehemu Isaac Muyenjwa Gamba ukiwasili nyumbani kwao, Bunda Mkoa wa Mara kwa mazishi.


Wakati wa kuwasili kwa mwili huo, ndugu, jamaa na marafiki wameshindwa kuzuia hisia kwa mpendwa wao huyo, na kujikuta wakiangua vilio huku wengine wakiishiwa nguvu na kupoteza fahamu, hakika inasikitisha.


Mwili wa gamba ambao umewasili Bunda leo ukitokea Mwanza baada ya kuagwa asubuhi katika viwanja vya Umoja wa Vyama vya Waandishi wa Habari (UPTC) jijini humo, utazikwa kesho majira ya saa 5 asubuhi nyumbani kwao, Bunda.
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...