VILIO, simanzi na simanzi vimetawala wakati mwili wa wa aliyekuwa mtangazaji wa Idhaa ya Kiswahili ya Deutsche Welle (DW) nchini Ujerumani, marehemu Isaac Muyenjwa Gamba ukiwasili nyumbani kwao, Bunda Mkoa wa Mara kwa mazishi.
Wakati wa kuwasili kwa mwili huo, ndugu, jamaa na marafiki wameshindwa kuzuia hisia kwa mpendwa wao huyo, na kujikuta wakiangua vilio huku wengine wakiishiwa nguvu na kupoteza fahamu, hakika inasikitisha.
Mwili wa gamba ambao umewasili Bunda leo ukitokea Mwanza baada ya kuagwa asubuhi katika viwanja vya Umoja wa Vyama vya Waandishi wa Habari (UPTC) jijini humo, utazikwa kesho majira ya saa 5 asubuhi nyumbani kwao, Bunda.
-
Bongo Deco wauzai wa vifaa mbalimbali vya umeme kama TV, Subwoofer, Hometheator, Majiko madogo na makubwa ya Gesi, Friji, Generator nk leo w...
-
Baadhi ya raia walioyatoroka makaazi yao baada ya mlipuko wa volkano uliotokea usiku wa kuamkia huko mjini Goma mashariki mwa Jamhuri ya Kid...
-
Toyota Hiace (BZK) Year :2002 Cc :2069 Km :27004 Fuel :Diesel Engine yenye uwezo mkubwa:5L Gari imetunzwa mazingira mazuri Selling price: 2...
-
Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) imesema kuanzia kesho Jumatano Juni 23, 2021 itakuwa ni marufuku kwa mtu yeyote kuingia eneo la hospita...
-
Na Amiri Kilagalila Njombe Jumuiya ya wanawake wa Chama cha Mapinduzi CCM mkoa wa Njombe inatarajia kufungua kiwanda cha kuzalisha sabuni mk...
-
Kupitia ukurasa wake wa Instagram mjasiriamali Faiza Ally ameweka wazi hisia zake na kusema kuwa anatamani sana kuona msanii wa Bongo Flev...
-
Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa tahadhari ya siku tano ya kunyesha mvua kubwa inayoweza kusababisha athari ikiwemo mafuriko. ...
-
Njiwa aliyesafiri katika bahari ya Pacific amewasilli Australia wakati ambao kuna sheria kali za kutotoka nje. Ndege huyo aliripotiwa kupo...
-
UNAPOTAJA jina la mwanamuziki mkubwa barani Afrika, Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz' kutoka Tanzania, akili za wengi zinakimbilia kwe...
-
Kampuni ya KILIMANJARO BIOCHEM LIMITED inazindua kinywaji kipya aina ya pombe kali ya KIWINGU. Kinywaji hichi kitazalishwa katika kiwanda ch...