Msanii wa muziki wa kizazi kipya kutoka Tanzania Faustina Charles Mfinanga alimaarufu Nandy amefunguka mwanzo mwisho kuhusu malengo yake ya kuachana na mziki na kuhamishia nguvu zake kwenye biashara
Nandy ameongea hayo leo katika kituo cha habari cha Clouds Fm kwenye kipindi cha Leo tena na kusema kuwa Bado miaka mitatu kuachana na muziki " Mimi katika ndoto zangu ni kuwa mfanya biashara mkubwa sana na hata naanza kufanya muziki nilijiwekea malengo baada ya miaka mitano nitaacha muziki na niendeleze biashara zangu na hadi sasa nimeitumia miaka miwili tu 2016,na 2017 na mwaka 2020 ndio nitaacha muziki na sio kuwa nitakuwa sitoi ngoma hapana nitakuwa natoa ila kwa mwaka hata mara moja pia kuhusu show naweza kuwa nafanya kwa mwaka mara moja ili nipate muda wa kusimamia baishara zangu"
Nandy ni kati ya wanamuziki wa kike kutoka Tanzania wanao fanya vizuri kwa sasa akitambulishwa na ngoma yake ya Ninogeshe.
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Tanzania November 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za ny...
-
Mhamasishaji maarufu wa mitandaoni, Mwijaku, ameandika ujumbe unaotoa ushauri kwa Rais wa klabu ya Yanga, Injinia Said Hersi, kupitia ukuras...
-
Zaidi ya ghorofa 100 jijini Dar es Salaam zilibainika kujengwa kinyume cha taratibu za ujenzi, Bunge lilielezwa. Kwa mujibu wa ripoti iliy...
-
Msimamo Ligi Kuu Bara 2024/2025 Msimamo Ligi Kuu Bara 2024/2025, NBC Premier League Tanzania Msimamo Ligi Kuu NBC 2024/2025 Tanzania Premier...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 9, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na ...
-
Msanii maarufu Ntemi O Mabala ' Ng'wana Kang'wa kutoka Kahama Mkoani Shinyanga anakualika kusikiliza wimbo wake mpya unaitwa M...
-
Na Mbuke Shilagi Kagera. Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dkt. Doto Biteko amesema kuwa mradi wa umeme wa maji ya maporomoko wa Rusumo...
-
Msanii wa nyimbo za asili Nyanda Madirisha Obhado 'Maliganya' maarufu Shikomba Bhulolo anakualika kusikiliza wimbo wake mpya 2021 un...
-
Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala ndogo ya Dar es Salaam, imetupilia mbali shauri lililokuwa limefunguliwa na Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina...