Muigizaji wa Bongo movie mwanamama Wastara Juma maarufu kama Wastara Sajuki ameingia katika sintofahamu na Mwanaharakati wa siasa mtandaoni Mange Kimambi.
Sakata kati ya Wastara na Mange Kimambi lilianza siku za nyuma mara baada ya kumtuhumu Wastara kwa Kula pesa za Michango ambayo alichangiwa na wananvhi kwa ajili ya kufanyiwa matibabu nchini India.
Siku ya jana Kwenye mahojiano aliyofanya na kituo kimoja cha habari, Wastara alimmwagia povu zito Mange na kudai aliumizwa na madai yake ya kwamba alikula pesa za Michango na kusema Yupo Tayari kupambana naye kwani amemchafulia jina.
Asubuhi ya leo Mange aliandika Kupitia ukurasa wake wa Instagram kuwa akipata muda lazima atampa kichambo Wastara na mara moja Wastara akajibu mashambulizi na kusema anamsubiri kwa hamu:
-
Baadhi ya raia walioyatoroka makaazi yao baada ya mlipuko wa volkano uliotokea usiku wa kuamkia huko mjini Goma mashariki mwa Jamhuri ya Kid...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na...
-
Zaidi ya ghorofa 100 jijini Dar es Salaam zilibainika kujengwa kinyume cha taratibu za ujenzi, Bunge lilielezwa. Kwa mujibu wa ripoti iliy...
-
Mhamasishaji maarufu wa mitandaoni, Mwijaku, ameandika ujumbe unaotoa ushauri kwa Rais wa klabu ya Yanga, Injinia Said Hersi, kupitia ukuras...
-
Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala ndogo ya Dar es Salaam, imetupilia mbali shauri lililokuwa limefunguliwa na Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Tanzania November 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za ny...
-
Msanii maarufu Ntemi O Mabala ' Ng'wana Kang'wa kutoka Kahama Mkoani Shinyanga anakualika kusikiliza wimbo wake mpya unaitwa M...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 9, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na ...
-
Hii hapa ngoma mpya ya Msanii wa Nyimbo za asili Mama Ushauri ameshirikiana na Ng'wana Ng'washi inaitwa Merimela ,imetengenezwa Lw...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 29, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na...