Muigizaji wa Bongo movie mwanamama Wastara Juma maarufu kama Wastara Sajuki ameingia katika sintofahamu na Mwanaharakati wa siasa mtandaoni Mange Kimambi.
Sakata kati ya Wastara na Mange Kimambi lilianza siku za nyuma mara baada ya kumtuhumu Wastara kwa Kula pesa za Michango ambayo alichangiwa na wananvhi kwa ajili ya kufanyiwa matibabu nchini India.
Siku ya jana Kwenye mahojiano aliyofanya na kituo kimoja cha habari, Wastara alimmwagia povu zito Mange na kudai aliumizwa na madai yake ya kwamba alikula pesa za Michango na kusema Yupo Tayari kupambana naye kwani amemchafulia jina.
Asubuhi ya leo Mange aliandika Kupitia ukurasa wake wa Instagram kuwa akipata muda lazima atampa kichambo Wastara na mara moja Wastara akajibu mashambulizi na kusema anamsubiri kwa hamu:
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Tanzania November 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za ny...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 9, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na ...
-
Zaidi ya ghorofa 100 jijini Dar es Salaam zilibainika kujengwa kinyume cha taratibu za ujenzi, Bunge lilielezwa. Kwa mujibu wa ripoti iliy...
-
Mhamasishaji maarufu wa mitandaoni, Mwijaku, ameandika ujumbe unaotoa ushauri kwa Rais wa klabu ya Yanga, Injinia Said Hersi, kupitia ukuras...
-
Msimamo Ligi Kuu Bara 2024/2025 Msimamo Ligi Kuu Bara 2024/2025, NBC Premier League Tanzania Msimamo Ligi Kuu NBC 2024/2025 Tanzania Premier...
-
Msanii maarufu Ntemi O Mabala ' Ng'wana Kang'wa kutoka Kahama Mkoani Shinyanga anakualika kusikiliza wimbo wake mpya unaitwa M...
-
Na Mbuke Shilagi Kagera. Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dkt. Doto Biteko amesema kuwa mradi wa umeme wa maji ya maporomoko wa Rusumo...
-
Msanii wa nyimbo za asili Nyanda Madirisha Obhado 'Maliganya' maarufu Shikomba Bhulolo anakualika kusikiliza wimbo wake mpya 2021 un...
-
Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala ndogo ya Dar es Salaam, imetupilia mbali shauri lililokuwa limefunguliwa na Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina...