Kwa mujibu wa mtandao wa Hip Hop Dx umeripoti kuwa Rapper Lil Wayne atapokea tuzo ya heshima ya 'I am Hip Hop' atakayopewa kwenye tuzo za BET Hip Hop zitakazofanyika October 6,2018 Marekani.
Lil Wayne atapokea tuzo hiyo ya heshima kutokana na kuwahi kuuza zaidi ya nyimbo 100 ikiwa pia amewahi kuwa msanii wa kiume wa kwanza kuzipita rekodi za Elvis Presley katika chart ya Billboard Hot 100 na jina lake kutokea mara 138 katika chart hizo.
Mashabiki wanasubiri kwa hamu ujio wa Album mpya ya Lil Wayne "Tha Carter V " ambayo inatajwa kuwa sokoni September 21,2018, Album hiyo imekuwa ikishikiliwa kwa miaka mingi kutokana na mivutano ya kisheria iliyokuwepo kati yake na kundi la Cash Money.
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na...
-
Mhamasishaji maarufu wa mitandaoni, Mwijaku, ameandika ujumbe unaotoa ushauri kwa Rais wa klabu ya Yanga, Injinia Said Hersi, kupitia ukuras...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Tanzania November 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za ny...
-
Zaidi ya ghorofa 100 jijini Dar es Salaam zilibainika kujengwa kinyume cha taratibu za ujenzi, Bunge lilielezwa. Kwa mujibu wa ripoti iliy...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 9, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na ...
-
Msimamo Ligi Kuu Bara 2024/2025 Msimamo Ligi Kuu Bara 2024/2025, NBC Premier League Tanzania Msimamo Ligi Kuu NBC 2024/2025 Tanzania Premier...
-
Msanii maarufu Ntemi O Mabala ' Ng'wana Kang'wa kutoka Kahama Mkoani Shinyanga anakualika kusikiliza wimbo wake mpya unaitwa M...
-
Na Mbuke Shilagi Kagera. Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dkt. Doto Biteko amesema kuwa mradi wa umeme wa maji ya maporomoko wa Rusumo...
-
Baadhi ya raia walioyatoroka makaazi yao baada ya mlipuko wa volkano uliotokea usiku wa kuamkia huko mjini Goma mashariki mwa Jamhuri ya Kid...
-
Hii hapa ngoma mpya ya Msanii wa Nyimbo za asili Mama Ushauri ameshirikiana na Ng'wana Ng'washi inaitwa Merimela ,imetengenezwa Lw...