Kwa mujibu wa mtandao wa Hip Hop Dx umeripoti kuwa Rapper Lil Wayne atapokea tuzo ya heshima ya 'I am Hip Hop' atakayopewa kwenye tuzo za BET Hip Hop zitakazofanyika October 6,2018 Marekani.
Lil Wayne atapokea tuzo hiyo ya heshima kutokana na kuwahi kuuza zaidi ya nyimbo 100 ikiwa pia amewahi kuwa msanii wa kiume wa kwanza kuzipita rekodi za Elvis Presley katika chart ya Billboard Hot 100 na jina lake kutokea mara 138 katika chart hizo.
Mashabiki wanasubiri kwa hamu ujio wa Album mpya ya Lil Wayne "Tha Carter V " ambayo inatajwa kuwa sokoni September 21,2018, Album hiyo imekuwa ikishikiliwa kwa miaka mingi kutokana na mivutano ya kisheria iliyokuwepo kati yake na kundi la Cash Money.
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na...
-
Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga Daktari Daniel Henry Na Isaac Masengwa ******************* Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga...
-
WATU saba wamefariki dunia baada ya bajaji waliyokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso na lori eneo la Mpemba, Tunduma wilayani Momba, mk...
-
Ninakualika kutazama Video Mpya kabisa mwaka 2021 kutoka kwa Msanii Yobat amemshirikisha Bhudagala Ng'wana Malonja na Shija Kadoke wim...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Tanzania November 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za ny...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 9, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na ...
-
Na Mbuke Shilagi Kagera. Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dkt. Doto Biteko amesema kuwa mradi wa umeme wa maji ya maporomoko wa Rusumo...
-
Msanii wa nyimbo za asili Nyanda Madirisha Obhado 'Maliganya' maarufu Shikomba Bhulolo anakualika kusikiliza wimbo wake mpya 2021 un...
-
Rais Uhuru Kenyatta na viongozi wengine nchini Kenya wametuma salamu zao za rambi rambi kwa familia ya marehemu Yusuf Haji. Rais Uhuru Kenya...
-
Kulia ni Mkurugenzi wa Stedom House of Beauty Bi. Stella Mhondo akigonga Cheers na wadau wa masuala ya Urembo na Vipodozi waliohudhuria uzin...
