Rapper na Muigizaji mkubwa Will Smith, Alhamisi iliyopita amepiga show kwenye stage moja akiwa na mtoto wake Jaden Smith.
Will alipanda kwenye stage hiyo akiwa na mtoto wake huyo wakati wa tamasha la ziara yake ya KOD lililofanyika huko mjini Miami.
Kabla ya wawili hao kuanza show hiyo wakati wapo backstage, Will alikua anongea huku akitokwa na machozi.
Miongoni mwa sentensi ambazo Simith alikuwa akizungumza ni kwamba, kama haya sio matunda ya baba na mtoto basi hawezi jua ni kitu gani tena hiko.
Wawili Hao walitumbuiza wimbo wao wa pamoja 'Icon' ikiwa ni kama remix ya wimbo wake mwenyewe na kuamsha hisia za mashabiki kibao walikokuwa wamehudhuria. Msanii mwengine ambaye aliwasha moto kwenye tamasha hilo ni rapper J Cole.
-
Baadhi ya raia walioyatoroka makaazi yao baada ya mlipuko wa volkano uliotokea usiku wa kuamkia huko mjini Goma mashariki mwa Jamhuri ya Kid...
-
Bongo Deco wauzai wa vifaa mbalimbali vya umeme kama TV, Subwoofer, Hometheator, Majiko madogo na makubwa ya Gesi, Friji, Generator nk leo w...
-
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (kulia)akimsikiliza Waziri wa Maliasili na Utalii wa Jamhuri ya ...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 9, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na ...
-
Balozi mpya wa Kenya nchini Tanzania, Dan Kazungu akitoa hotuba yake kwa wageni mbalimbali waliohudhulia dhifa iliyoandaliwa maalum kwa kumk...
-
Wanajeshi wawili wa kulinda amani wa Umoja wa Mataifa wamejeruhiwa baada ya kifaru cha Israel kufyatua risasi kuelekea mnara wa Umoja wa M...
-
Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) imesema kuanzia kesho Jumatano Juni 23, 2021 itakuwa ni marufuku kwa mtu yeyote kuingia eneo la hospita...
-
Mamlaka za China zipo mbioni kudhibiti ongezeko la harusi za kifahari amabazo zimekuwa zikishamiri katika miaka ya karibuni. Kwamujibu wa ma...
-
Kupitia ukurasa wake wa Instagram mjasiriamali Faiza Ally ameweka wazi hisia zake na kusema kuwa anatamani sana kuona msanii wa Bongo Flev...
-
Katika kila makabiliano ya kijeshi kati ya Israel na Lebanon, bila kujali ni upande gani unaopigana huko Lebanon, Mto Litani, moja ya mito...