Rapper na Muigizaji mkubwa Will Smith, Alhamisi iliyopita amepiga show kwenye stage moja akiwa na mtoto wake Jaden Smith.
Will alipanda kwenye stage hiyo akiwa na mtoto wake huyo wakati wa tamasha la ziara yake ya KOD lililofanyika huko mjini Miami.
Kabla ya wawili hao kuanza show hiyo wakati wapo backstage, Will alikua anongea huku akitokwa na machozi.
Miongoni mwa sentensi ambazo Simith alikuwa akizungumza ni kwamba, kama haya sio matunda ya baba na mtoto basi hawezi jua ni kitu gani tena hiko.
Wawili Hao walitumbuiza wimbo wao wa pamoja 'Icon' ikiwa ni kama remix ya wimbo wake mwenyewe na kuamsha hisia za mashabiki kibao walikokuwa wamehudhuria. Msanii mwengine ambaye aliwasha moto kwenye tamasha hilo ni rapper J Cole.
-
Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga Daktari Daniel Henry Na Isaac Masengwa ******************* Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga...
-
WATU saba wamefariki dunia baada ya bajaji waliyokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso na lori eneo la Mpemba, Tunduma wilayani Momba, mk...
-
Rais Uhuru Kenyatta na viongozi wengine nchini Kenya wametuma salamu zao za rambi rambi kwa familia ya marehemu Yusuf Haji. Rais Uhuru Kenya...
-
Kulia ni Mkurugenzi wa Stedom House of Beauty Bi. Stella Mhondo akigonga Cheers na wadau wa masuala ya Urembo na Vipodozi waliohudhuria uzin...
-
MWANA-mfalme wa Uingereza,. Prince Charles, ambaye ni mtoto wa kwanza wa Malkia Elizabeth wa Pili wa Uingereza, na mrithi wa kwanza katika ...
-
Mfanyabiashara raia wa Kenya, Raphael Ongangi anayedaiwa kutekwa na watu wasiojulikana maeneo ya Oysterbay, Dar es Salaam nchini Tanzania am...
-
Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Jasinta Mboneko amefunga rasmi mafunzo ya sheria za usalama barabarani kwa maaskofu na wachungaji wa makanisa ya...
-
Vijana wametakiwa kuwa wazalendo katika nchi yao kwa kukemea vitendo viovu katika jamii na kutoa taarifa za uhalifu na wahalifu. Aidha Sil...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na...
-
Zikiwa zimesalia siku chache tu Hoteli Mpya ya Kisasa yenye Ubora wa hali ya juu 'SHY PARK HOTEL' ifunguliwe Rasmi mwezi Agosti 202...
