Thursday, August 16, 2018

Wanafunzi watoro wasakwa.

Serikali wilayani Muleba imeanza operesheni maalumu ya nyumba hadi nyumba kwa lengo la kuwasaka wanafunzi wa shule za msingi na sekondari, ambao waliacha masomo na kukimbilia visiwani kufanya shughuli za uvuvi ,vibarua majumbani na waliobebeshwa ujauzito na kufichwa na wazazi wao. Operesheni hiyo maalumu inaongozwa na mkuu wa wilaya ya Muleba mhandisi Richard Ruyango, imewanasa […]
Source
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...