Thursday, August 30, 2018

Video: Mwanamke wa kwanza kuiba gari Saudi Arabia anaswa na kamera ya CCTV

Mwanamke mmoja nchini Saudi Arabia ameonekana kwenye kipande cha video akiiba gari lililo egeshwa kando ya barabara. Tukio hilo lanamfanya mwanamke huyo kuwa mwizi wa kwanza magari Saudi Arabia tangu kupitishwa kwa sheria inayo waruhusu wanawake kuendesha chombo hicho cha usafiri miezi miwili iliyopita. CCTV iliyokuwa maeneo hayo ilinasa kipande cha video huko Al Dammam …

The post Video: Mwanamke wa kwanza kuiba gari Saudi Arabia anaswa na kamera ya CCTV appeared first on Bongo5.com.


Source
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...