Friday, August 31, 2018

VIDEO: Movie ya Bahasha yatikisa Dar Dude afunguka kwanini Bongo Movie ilitetereka

Mwigizaji wa Bongo Movie Dude amefunguka kuhusiana na Movie ya Bahasha ambayo ilizinduliwa Mlimani City lakini ameweza kufunguka kuhusiana na tasinia ya Filamu kwa ujumla na kueleza sababu hasa zilizopelekea tasnia ya Bongo Movie kutetereka. Dude amefunguka hayo wakati anapiga stori na Bongo Five na kueleza haya:- By Ally Juma

The post VIDEO: Movie ya Bahasha yatikisa Dar Dude afunguka kwanini Bongo Movie ilitetereka appeared first on Bongo5.com.


Source
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...