Nyota wazamani wa timu ya taifa ya Brazil, Ronaldo amelazwa hospitali ya Ibiza kufuatia kusumbuliwa na ugonjwa wa pneumonia.
Ronaldo mwenye umri wa miaka 41 ameripoti kupitia mtandao wake wa twitter kuwa amefikishwa hospitalini hapo siku ya Ijumaa na kutarajia kupata ruksa leo siku ya Jumatatu.
Ronaldo amefunga jumla ya mabao 62 akiwa na timu yake ya taifa ya Brazil yakiwemo magoli mawili aliyoifunga Ujerumani kwenye mchezo wa fainali ya kombe la dunia mwaka 2002.
Nyota huyo wazamani wa klabu za Real Madrid, Barcelona, Inter Milan pamoja na AC Milan amewashukuru mashabiki zake kwa kumtakia afya njema.
Ronaldo ameshinda mataji mawili ya La Liga akiwa na Real na Uefa Cup akiwa na Inter.
Amekuwa sehemu ya kikosi cha Brazil ambacho kimetwaa taji la kombe la dunia mwaka 1994 na kuiwezesha timu hiyo kufika fainali mwaka 1998.
Lakini pia amewahi kutwaa taji la Ballon d'Or mara mbili mwaka 1997 na 2002.
-
Baadhi ya raia walioyatoroka makaazi yao baada ya mlipuko wa volkano uliotokea usiku wa kuamkia huko mjini Goma mashariki mwa Jamhuri ya Kid...
-
Bongo Deco wauzai wa vifaa mbalimbali vya umeme kama TV, Subwoofer, Hometheator, Majiko madogo na makubwa ya Gesi, Friji, Generator nk leo w...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 9, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na ...
-
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (kulia)akimsikiliza Waziri wa Maliasili na Utalii wa Jamhuri ya ...
-
Balozi mpya wa Kenya nchini Tanzania, Dan Kazungu akitoa hotuba yake kwa wageni mbalimbali waliohudhulia dhifa iliyoandaliwa maalum kwa kumk...
-
Wanajeshi wawili wa kulinda amani wa Umoja wa Mataifa wamejeruhiwa baada ya kifaru cha Israel kufyatua risasi kuelekea mnara wa Umoja wa M...
-
Katika kila makabiliano ya kijeshi kati ya Israel na Lebanon, bila kujali ni upande gani unaopigana huko Lebanon, Mto Litani, moja ya mito...
-
Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) imesema kuanzia kesho Jumatano Juni 23, 2021 itakuwa ni marufuku kwa mtu yeyote kuingia eneo la hospita...
-
Hii hapa ngoma mpya ya Msanii wa Nyimbo za asili Mama Ushauri ameshirikiana na Ng'wana Ng'washi inaitwa Merimela ,imetengenezwa Lw...
-
Mamlaka za China zipo mbioni kudhibiti ongezeko la harusi za kifahari amabazo zimekuwa zikishamiri katika miaka ya karibuni. Kwamujibu wa ma...