Wednesday, August 1, 2018

Mkwasa akimbizwa hospitali India, msemaji wa Yanga amtakia kila la kheri

Aliyekuwa Katibu Mkuu wa mabingwa wa kihistoria wa ligi kuu soka Tanzania Bara klabu ya Yanga, Charles Boniface Mkwasa amesafiri kuelekea India kwa ajili ya matibabu. Taarifa zinaeleza kuwa, Mkwasa amesafirishwa kuelekea nchini huko kutokana na matatizo ya kiafya ambayo yamekuwa yakimsumbua kwa muda mrefu. Huu ndiyo ugonjwa unaomsumbua Mkwasa Afisa habari wa klabu ya Yanga, …

The post Mkwasa akimbizwa hospitali India, msemaji wa Yanga amtakia kila la kheri appeared first on Bongo5.com.


Source
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...