Thursday, June 24, 2021
Tatizo la umeme Njombe kumalizwa baada ya siku 28
Waziri wa Nishati nchini Tanzania, Dkt. Medard Kalemani amesema changamoto ya kukatika kwa umeme mara kwa mara mkoani Njombe itakwisha baada ya siku 28.
Dkt. Kalemani ameyasema hayo wakati akijibu swali la nyongeza la Mbunge wa Njombe (CCM), Deo Mwanyika.
Mwanyika amehoji ni lini tatizo la kukatika kwa umeme mara kwa mara mkoani Njombe litatatuliwa.
Akijibu swali hilo, Dkt. Kalemani amekiri suala hilo na kubainisha kuwa unakatika kwa sababu kuna matengenezo yanaendelea ambayo yatachukua siku 28.
Amesema katika maeneo ya Njombe na Ludewa kuna laini ya umeme ambayo inaongezwa na kwamba ujenzi huo umetengewa Sh270 milioni.
Amebainisha kuwa pia wametenga Sh Milioni 100 katika Mkoa huo kwa ajili ya ukarabati wa mitambo na kuimarisha umeme Makambako, Njombe na Ludewa.
"Niwahakikishie ndani ya muda nilioutaja hali ya umeme itaimarika kwa kiasi kikubwa," Kalemani
-
Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga Daktari Daniel Henry Na Isaac Masengwa ******************* Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga...
-
WATU saba wamefariki dunia baada ya bajaji waliyokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso na lori eneo la Mpemba, Tunduma wilayani Momba, mk...
-
Rais Uhuru Kenyatta na viongozi wengine nchini Kenya wametuma salamu zao za rambi rambi kwa familia ya marehemu Yusuf Haji. Rais Uhuru Kenya...
-
MWANA-mfalme wa Uingereza,. Prince Charles, ambaye ni mtoto wa kwanza wa Malkia Elizabeth wa Pili wa Uingereza, na mrithi wa kwanza katika ...
-
Mfanyabiashara raia wa Kenya, Raphael Ongangi anayedaiwa kutekwa na watu wasiojulikana maeneo ya Oysterbay, Dar es Salaam nchini Tanzania am...
-
Mbunge wa Kigoma Mjini na Kiongozi Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe asomewa mashtaka matatu ya uchochezi, yenye nia ya kuleta ch...
-
Zikiwa zimesalia siku chache tu Hoteli Mpya ya Kisasa yenye Ubora wa hali ya juu 'SHY PARK HOTEL' ifunguliwe Rasmi mwezi Agosti 202...
-
Vijana wametakiwa kuwa wazalendo katika nchi yao kwa kukemea vitendo viovu katika jamii na kutoa taarifa za uhalifu na wahalifu. Aidha Sil...
-
Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Jasinta Mboneko amefunga rasmi mafunzo ya sheria za usalama barabarani kwa maaskofu na wachungaji wa makanisa ya...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na...
